richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,026
kwema wakuu, mimi sio mwandishi mzuri, naomba huu uzi uwe kwenye stail ya maswali..ili niandike kile mnachohitaji tu.
Niulize na nitajibu bila kuficha kila kitu, lengo ni kupeana moyo.
Hapa naandika leo ni siku ya tatu niko Europe,
So kila hatua nitawajuza
Hizo picha niko ofisi ya kazi na wa Nepal, wamechukua karatasi za maelezo kama unavoziona na passport, shida hao wa Nepal wana visa ya nchi tofauti na hii tuliyopo so mpaka jamaa waka-comfirm kama wanaweza kufanya kazi hapa..wametuweka sn
Niulize na nitajibu bila kuficha kila kitu, lengo ni kupeana moyo.
Hapa naandika leo ni siku ya tatu niko Europe,
So kila hatua nitawajuza
Hizo picha niko ofisi ya kazi na wa Nepal, wamechukua karatasi za maelezo kama unavoziona na passport, shida hao wa Nepal wana visa ya nchi tofauti na hii tuliyopo so mpaka jamaa waka-comfirm kama wanaweza kufanya kazi hapa..wametuweka sn