Nimepata sababu ya kutoacha Pombe...

Kunywa pombe si dhambi according to what I know and I do beliave it sema kibaya ni matendo yatokanayo na ulevi wako kama ulevi utakuzidi.
Also divai/mvinyo utumikao kanisani una kilevi pia.
I love you Double K, will you marry me?
 
Last edited by a moderator:
Kuna nabii mmoja aliibuka sijui kaishia wapi...alikuwa anahimiza mambo mawili, kunywa pombe na kina baba kutowatelekeza housegirls maana wanawasaidia kina mama. Nabii Tito. Ukimuona tu unajua dunia imeingiliwa
 
Hahahahahah! Ntake radhi, mimi siyo Yesu. Yeye ndie Bwana wa watu wote.

Try me then. You never know with alcohol.
dont make utani kwenye mambo ya KIMUNGU! umeniudhi!
 
Hahahahahah! Ntake radhi, mimi siyo Yesu. Yeye ndie Bwana wa watu wote.

Try me then. You never know with alcohol.

Hahahahahaaaaaaa some people are more romantic wakiwa wamelewa, to you I dont know. Thanks for the chance.
 

Kunywa lakini usichangane na jina lako, ni soo.
 

Amen kunyweni kunyweni!
 


Nilifagilia sana pombe duuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…