Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
- Thread starter
- #21
Nadhani unamaanisha beer hapo. Hapa mama hatuzungumzii madhara, tunazungumzia dhambi! Hata nyama ina madhara kwa binadamu, kwa hiyo tuache kula?Hivi Asprin na Teamo hizi bear or something yenye kilevi haina madhara kwenye afya ya binadamu kama mimi???