Msuli wa mbu
Member
- May 4, 2021
- 96
- 282
Kwanza hapo ujue kuna kitu anataka kutoka kwako mpe (mara nyingi huwa hawataki pesa) kaa ukijua mzungu hajengi urafiki na mwafrika kifala fala, ukimpa anacho kitaka atakuja kukupa/au kukuacha kitu Cha thamani huta kaa uamini..., Aisee.