Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Relief Mirzska

JF-Expert Member
Jun 13, 2017
13,988
22,379
Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.

Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.

Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.

Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.

I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.

Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.

Thank you pal for being there for me.
 
Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.

Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.

Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.

Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.

I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.

Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.

Thank you pal for being there for me.
Hongera
 
Back
Top Bottom