Nimepata mume asanteni

Nimepata mume asanteni

mh we jasiri hongera hicho ni kitu ambacho nisingeweza fanya hata kama sijapata.Yalinikuta nilimsamehe lakini kurudi hahaha nooooo .moyo wa mtu kichaka.My prayers are with u.Goodluck.
Mkuu uko sawa kabisa! Mtreat mtu vizuri tena kwa ukarimu kabisa, mshauri, mwonye mara nyingi kadiri inavyowezekana asipokuelewa kwa mda wote huo uliomfanyia hayo basi ukichukua uamuzi usirudi nyuma haijalishi utapitia magumu au kuumia kiasi gani! Na hiyo ndio kusimamia unachokiamini!

Mungu atakupa wepesi na njia ya kutokea kutokana na maamuzi yako kama ulitenda kwa haki!
 
Mkuu uko sawa kabisa! Mtreat mtu vizuri tena kwa ukarimu kabisa, mshauri, mwonye mara nyingi kadiri inavyowezekana asipokuelewa kwa mda wote huo uliomfanyia hayo basi ukichukua uamuzi usirudi nyuma haijalishi utapitia magumu au kuumia kiasi gani! Na hiyo ndio kusimamia unachokiamini!

Mungu atakupa wepesi na njia ya kutokea kutokana na maamuzi yako kama ulitenda kwa haki!
Dah... Kama yeye ndiyo alimbwaga mshkaji halafu ilimuuma... isije kuwa mshikaji kuamua kumutia kwenye 18 zake naye afanye mambo
 
Mungu mkubwa, kila la heri, kamata na mshikilie usimwachie...
 
Ila na wewe una haraka!!!! Khaa mliachana saivi mmekutana jf hamjasomana mkaridhiana we ushajiridhisha umepata mume labda mwenzio anawaza amepata mchepuko we unawaza mume
 
Back
Top Bottom