Nimepata mume asanteni

Nimepata mume asanteni

nimempa pwd
Hapa umekurupuka aisee haha inamaana una uhakika umedelete kila kitu kwa ilo/uliyekuwa naye hapo nyuma??? Mara siku moja anakukumbuka anaamua kukupotezea mood kwa maneno lainiiiii as if mlikuwa naye jana hahahahaaaa apo ndo utajua umepata mume au researcher wa mambo yako
 
We ni shujaa kwa kweli. Toka mwaka juzi halafu mkaamua kulianzisha tena???? Pole
 
Mi nikisema hawa watu wasiwaamini kabisa mnaponda..

Cheki sasa, juzi tu kishaanza kuita mume. Jamaa kama anataka kuchovya tu?! Kwanini usijipe mda kuita hayo majina, mume, mchumba n.k
 
Nafikiri hizo nyuzi moderators wasizifute kuweka records vizuri...
 
nimeshatoa mrejesho kwa admin wanitoe post zangu zote za kutafuta mume nashukuruni kwa ushauri wenu
najua wengi hamtaamini ila jamaa ni tuliachana mwaka juzi tumekutana tena humu humu !labda ni Mipango ya Mungu tuwe pamoja acha tujipe nafasi tunaomba maombi yenu
Hongera kumbe ulikuwa serious na mimi niko mbioni kutafuta!
 
mume mwenyewe jemsi delicious? hasara tupu, soon utarudi humu jamvini ukitangaza Vacancy tena.
 
"...Ukiwa kwenye jukwaa la MMU ni kama upo nchi nyingine...."

J
 
Back
Top Bottom