Nimepata mume asanteni

Nimepata mume asanteni

we si ndio yule humble ila mjeuri
hongera sana
 
nimeshatoa mrejesho kwa admin wanitoe post zangu zote za kutafuta mume nashukuruni kwa ushauri wenu
najua wengi hamtaamini ila jamaa ni tuliachana mwaka juzi tumekutana tena humu humu !labda ni Mipango ya Mungu tuwe pamoja acha tujipe nafasi tunaomba maombi yenu
mapenz bana
 
mimi ndo niliesitisha mahusiano yetu nimemuomba anisamehe kwa vile ananipenda acha tujipe nafasi
 
hongera,,,Kilichopangwa na Mungu mwanadamu asikitenganishe...ulimkwepa lakini bado Mungu akakurudishia yuleyule..alikuwa wako huyo,,usisahau kuomba kila iitwapo leo
 
nimeshatoa mrejesho kwa admin wanitoe post zangu zote za kutafuta mume nashukuruni kwa ushauri wenu
najua wengi hamtaamini ila jamaa ni tuliachana mwaka juzi tumekutana tena humu humu !labda ni Mipango ya Mungu tuwe pamoja acha tujipe nafasi tunaomba maombi yenu
Miss Natafuta popote ulipo tunahitaji mrejesho wako na wewe.
 
Siku ya kwanza kupasha kiporo sijui ilikuwaje, any way.
Sasa msianze kufanya kosalililo watenganisha zamani. Kila lakheri.
 
nimeshatoa mrejesho kwa admin wanitoe post zangu zote za kutafuta mume nashukuruni kwa ushauri wenu
najua wengi hamtaamini ila jamaa ni tuliachana mwaka juzi tumekutana tena humu humu !labda ni Mipango ya Mungu tuwe pamoja acha tujipe nafasi tunaomba maombi yenu
hapo utagongwa na kuachwa tena...
ulimpa papuchi mwaka juziakaigonga ,..mkachokana kila mtu akatembea kivyake ..leo tena mmekutana mnataka kusuguana na kuoana..sikukatishi tamaa na nakuombea ili hilo pepo lililoacha mkatengana lishindwe na lisirudi tena na tena
 
Ndo mtu wa kwanza kuleta mrejesho baada ya kupata itaji lake.....omukama akulinde
 
Back
Top Bottom