Nimepata mume asanteni

Nimepata mume asanteni

nimeshatoa mrejesho kwa admin wanitoe post zangu zote za kutafuta mume nashukuruni kwa ushauri wenu
najua wengi hamtaamini ila jamaa ni tuliachana mwaka juzi tumekutana tena humu humu !labda ni Mipango ya Mungu tuwe pamoja acha tujipe nafasi tunaomba maombi yenu
Mwanzo alikua bwana sio sasa ndio mmefunga ndoa kila lakheri
 
natafuta mume.....
a1e1030b80d51abc85d74723d284baa2.jpg



Yupo huyu baba
 
Hongera sana ila nafikiri ni mapema mno
 
Jamii f ni kila kitu utafutacha hupata. ..
Hongeraaa

Hata. Wachuuzi wa ngada huenda ikapatikana
 
Back
Top Bottom