Nimepata mume asanteni

Nimepata mume asanteni

nimeshatoa mrejesho kwa admin wanitoe post zangu zote za kutafuta mume nashukuruni kwa ushauri wenu
najua wengi hamtaamini ila jamaa ni tuliachana mwaka juzi tumekutana tena humu humu !labda ni Mipango ya Mungu tuwe pamoja acha tujipe nafasi tunaomba maombi yenu
Kila la heri ila akipotea tena achana naye maana hii kuondoka na kurudi kuondoka na kurudi ni hatari mkuu!Be carefull!
 
Umeona age imekwenda umekula tena matapishi yako.
 
nimeshatoa mrejesho kwa admin wanitoe post zangu zote za kutafuta mume nashukuruni kwa ushauri wenu
najua wengi hamtaamini ila jamaa ni tuliachana mwaka juzi tumekutana tena humu humu !labda ni Mipango ya Mungu tuwe pamoja acha tujipe nafasi tunaomba maombi yenu
Hebu tuwekee basi sifa zake, alivyo
 
Back
Top Bottom