Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,035
- 12,805
Huu si ushetani bali huyu wa skafu ameleta shari tu....na hao wa kijani uvumilivu ni tatizo......
Binafsi nimeshawahi kuchaniwa T-SHIRT yangu ya CCM maeneo ya K/KOO nikiwa kijana wa chuo kikuu kipindi kile CCM inaandamwa na JINAMIZI na kabla ya "KUJIVUA GAMBA".....
Je walionichania nguo yangu nao ni mashetani ?!!!
#Siempre JMT🙏