Mbuta Likaso
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 5,361
- 10,449
Una mambo ya kipumbavu sana. Vipi kama faraja yake huwa inatoka humu JF? Pengine ni introvert ambaye mitandao ndo huwa inamfanya akae sawa? Mijitu mingine na comments zenu bhana.Umepata na nguvu za kuingia jf kuandika?
Huyo mtoto alikua wako au kambo?