LoyalTzCitizen JF-Expert Member Sep 15, 2010 2,234 883 Feb 25, 2011 #21 Poleni sana na Mungu awajalie strength ktk wakati huu mgumu sana! RIP mdogo wako!
Tshala JF-Expert Member May 23, 2008 281 110 Feb 25, 2011 #27 Pole sana na Mwenyezi Mungu awatie nguvu.
A Aine JF-Expert Member Nov 1, 2010 1,603 488 Feb 25, 2011 #28 Pole sana sna na Mungu akupe amani na faraja
AK-47 JF-Expert Member Nov 12, 2009 1,373 199 Feb 25, 2011 #31 Mungu wetu mweye huruma aendelee kukufariji Mkuu
Mpita Njia JF-Expert Member Mar 3, 2008 6,997 1,163 Feb 25, 2011 #32 POle sana mkuu na bwana mdogo apumzishwe mahali pema. Sote tunakwenda huko
N Ndinani JF-Expert Member Aug 29, 2010 6,938 3,825 Feb 25, 2011 #33 Pole sana kamanda, mwenyezi atawapa nguvu muweze kuvumilia haya machungu ya duniani.
Chapakazi JF-Expert Member Apr 19, 2009 2,874 310 Feb 25, 2011 #34 pole sana...Mungu pekee ndio mfariji mkuu.
Gobegobe JF-Expert Member Nov 23, 2010 244 23 Feb 25, 2011 #35 Pole sana Mkuu, Mwenyezi Mungu akupe wewe na familia yako nguvu na ustahimilivu katika kipindi cha majonzi.
Pole sana Mkuu, Mwenyezi Mungu akupe wewe na familia yako nguvu na ustahimilivu katika kipindi cha majonzi.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,151 16,232 Feb 25, 2011 #36 Pole sana mkuu kwani kazi ya Mungu haina makosa, Mungu awatangulie ktk kipindi hiki kigumu na mzike salama.
Pole sana mkuu kwani kazi ya Mungu haina makosa, Mungu awatangulie ktk kipindi hiki kigumu na mzike salama.
K KIDUNDULIMA JF-Expert Member Aug 18, 2010 966 538 Feb 25, 2011 #37 pole ndugu, tutakumiss sana. wape pole wafiwa wote
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Feb 25, 2011 #38 poleni sana kwa msiba mungu awape nguvu
ChaMtuMavi JF-Expert Member Oct 15, 2008 330 8 Feb 25, 2011 #39 Pole sana kwa kufiwa, Mwenyezi Mungu akupe nguvu na uvumilivu kipindi hiki cha maombolezi.