1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 10,137
- 14,234
Hongera mkuuHahahaaaaa
Mapenzi, pombe vina undugu na kiinglishi
Senki yu, endi yu yua welkam tu awa weding'.Hongera mkuu
HahahahaNitajie I'd yake isije kuwa danga langu
Hongera sana, lkn uwe msir katika mambo yako hii ni hatua ya mwanzo kabisa.
Wengi pia wanakutana humu lkn hawaanzishi uzi kama wew.
Siwaelewag watu wanaotafta wapenz hum.kabisaaa yani..
Kama mwanamke basi ni mbovu
Kama mwanaume basi sjui ana tatzo gan,nae atakua mbovu ama domo zege au sjui yan
N.b ubovu haimaanish sura mbaya,tuelewane
Ubovu ni kutokua na hiv
1.usafi
2.u smart
3.mbwembwe
4.chambi kdogo
5.mandhari ya kumeet watu huna hata instagram au fesibuku hutak
Nadhani huyo atasaidia jukwaa kuwa tulivu. Uzoefu wangu unaonesha wanawake wa JF kabla ya kupata mwanaume humu, huwa mnasumbua na sredi za uhanga na kumwaga razi. Mkipata mnatulia kama mmehama nchi. Mtano Demiss kabla hajampata mshana hapa kulikuwa fujo tupu. katoto kazuri inaonesha ameachwa. @nakwende ameachwa etcNimepata mpenzi humu jukwaani. Tunakwenda taratibu. Amepanda juu hii ndiyo furaha yangu Nina allergy na Andunje.
Ninahisi ninampenda. Katika maongezi nimegundua tunasali kanisa moja.
Zuri naomba unipm mrejesho ile ishu ulokuja kuniuliza pm...Haya
Mi nahisi nakufahamu! Haujamaliza form six mwaka huu wewe?Kwani mnanifahamu?
Nadhani huyo atasaidia jukwaa kuwa tulivu. Uzoefu wangu unaonesha wanawake wa JF kabla ya kupata mwanaume humu, huwa mnasumbua na sredi za uhanga na kumwaga razi. Mkipata mnatulia kama mmehama nchi. Mtano Demiss kabla hajampata mshana hapa kulikuwa fujo tupu. katoto kazuri inaonesha ameachwa. @nakwende ameachwa etc
Hata Evelyn Salt sredi zake siku hizi zinaonesha ameachwa. Mzigua90 nazani kapata maana kimya. Nitakuwa nakuonesha kila aliyeachikaHahahahja aisee siyo kweli ila ukipata bwana Jf unajiheshimu kidogo
Hata Evelyn Salt sredi zake siku hizi zinaonesha ameachwa. Mzigua90 nazani kapata maana kimya. Nitakuwa nakuonesha kila aliyeachika
Ila usisahau leo pia kutafuta pesa. Weekend hii mkuu. Kesho saa 6 mchana utakuta tag zangu, mwenyezi mungu akutangulie usipate mahogo au wa vumbi la kongo. Bye for nowHahaha basi uwe unanitag