Acha upumbavu wewe....
Vijana wa siku hizi mna shida gani?
Kwanza, comperatively hiyo hela ni nyingi sana ukilinganisha na starting salary za watu wengi.... Kuna watu wako makazini 10+ years hawajafikia huo mshahara!
By the way, mshahara haujawahi kutosha hata siku moja.
Wewe unatakiwa ku focus katika kile unachotaka ku achieve.... And look at the bigger picture. Think hiyo kazi uliyoipata itakusaidiaje kufikia malengo yako say in the next 2,5,7,10 yrs? Kwani unataka ufie hapo? Au ni kampuni yako hiyo au ya baba yako?
Chukua hiyo kazi, do ur best fanya kazi, learn and learn and learn...... Inaweza kukufanya after 6 months or one year ukapata kazi ambayo mshahara ni mara 6 ya huo... Au hiyo kazi ikaku connect na mtu/kampuni ambayo inaweza kukupa kazi ya mamilioni.... au hiyo kazi ikakupa skills ambazo zitakufanya uwe lulu in the corporate world... Au ikakupa ujanja wa kuweza kuanzisha biashara au consultancy yako ambayo itakulipa zaidi...
Think.