Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,880
Habari JF,
Leo mida ya saa kumi na Moja Kamili, nikiwa na Bajaj yangu kazini, natoka Mji Mwema kwenda ferry Kigamboni.
Nikiwa katika low speed ukizingatia hali ya hewa nikiwa upande wangu, ghafla niliona Altezza White imeovertake Iko mbele yangu.
Aisee, nilijitahidi kukwepa lakini alikuwa speed sana, baadaye kakimbia sijui hata rangi ya gari, Nina maumivu kichwani na mguuni.
Bajaj yangu Ina Bima kubwa
Askari wamepima na kuchora
Taratibu zingine zipoje nirudi kazini
Leo mida ya saa kumi na Moja Kamili, nikiwa na Bajaj yangu kazini, natoka Mji Mwema kwenda ferry Kigamboni.
Nikiwa katika low speed ukizingatia hali ya hewa nikiwa upande wangu, ghafla niliona Altezza White imeovertake Iko mbele yangu.
Aisee, nilijitahidi kukwepa lakini alikuwa speed sana, baadaye kakimbia sijui hata rangi ya gari, Nina maumivu kichwani na mguuni.
Bajaj yangu Ina Bima kubwa
Askari wamepima na kuchora
Taratibu zingine zipoje nirudi kazini