Valenciaga
Member
- Jul 4, 2020
- 44
- 61
Habari wadau,
Na mshukuru mungu, kunifikisha December salama, mwaka huu mwanzoni mwa mwaka huu niliweka malengo ya kuacha pombe, na kweli tokea tarehe 01-01-2023 sijanywa pombe Wala sitamani.
Itakapofika tarehe 01-01-2024
Nataka niache:
(01) Kunywa soda
(02) Nataka nikae mwaka mzima bila kufanya sex, bila kuwa na mwanamke, bila kununua malaya, bila kupiga puli. Kwani mambo haya yanakula muda wangu mwingi. pesa nyingi sana mwaka huu nimetumia kwa kuhonga, na kununua k
(03) Nataka niachane na smartphone naifungia Hadi December 30 2024, hii imekuwa ikinipotezea muda na fedha pia, natumia wastani 70k kwa ajili ya internet kwa mwezi. Pia itanisaidia kutimiza lengo langu namba 02
Eeh mungu nisaidie
Na mshukuru mungu, kunifikisha December salama, mwaka huu mwanzoni mwa mwaka huu niliweka malengo ya kuacha pombe, na kweli tokea tarehe 01-01-2023 sijanywa pombe Wala sitamani.
Itakapofika tarehe 01-01-2024
Nataka niache:
(01) Kunywa soda
(02) Nataka nikae mwaka mzima bila kufanya sex, bila kuwa na mwanamke, bila kununua malaya, bila kupiga puli. Kwani mambo haya yanakula muda wangu mwingi. pesa nyingi sana mwaka huu nimetumia kwa kuhonga, na kununua k
(03) Nataka niachane na smartphone naifungia Hadi December 30 2024, hii imekuwa ikinipotezea muda na fedha pia, natumia wastani 70k kwa ajili ya internet kwa mwezi. Pia itanisaidia kutimiza lengo langu namba 02
Eeh mungu nisaidie