Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
Nenda shuleHello mimi ni kijana mtanzania nina mwaka kwenye ajira ya serikalini but miaka 3 before nilifanya kazi private sector natamani nijiendeleze ila kutokana na mkwamo wa ajira za serikali itanibidi nisubiri mpaka 2024 ,, ndo nipate nafasi
Mwaka 2024 nitakuwa na miaka 32 , kozi nnayopenda kusoma ni 6yrs kumaliza itakuwa ni 2031
Kipi bora niache kazi nikasome mapema ila nikirudi ,na ganga private ,au nikomae
Jr