NOKIALUMIA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 396
- 275
- Thread starter
- #41
Ahsante kwa ushauri mkuuSoma open university au ongea na bosi wako vizuri..
Wapo waliofanya kazi mwaka mmoja tu wakapewa ruhusa ya masomo.
Kuna MTU aliajiriwa May/2014 na Oct/2015 akaenda masomoni. Na alisoma bachelor + masters.. Hivyo alipata likizo ya miaka 5..!!!
#YNWA