Mkuu hizo ni ndoto tu na hazina maana yoyote......just relax
Tatizo ni kwamba unaonekana upo so desperate kutakuja lazimisha kujua maana yake( BTW wanajimu wa mchongo watabunu tu maana yake)
Na kwakuwa wewe una AMINI haya mambo utaamini tafsiri uliyopewa kuwa ni kweli
Na shida ya Imani ndio hii...... ni kuamini tu
Ipo siku utatafsiri kwamba mama yako ni MCHAWI..... hapo ndio akili itakukaa sawa
Mara nyingi watu huwa wanaingia kwenye imani za kichawi kwa staili hizi hizi.... utajikuta unaishia kwenda kwa waganga kuweka sawa Tafsiri ulizotafsiriwa ili mambo yaende