Nimeota ndoto ya ajabu muda huu...

Nimeota ndoto ya ajabu muda huu...

Ulikuwa kifungoni
Alf huyo jini mahaba alikuja usiku kufanya mapenzi na wewe

Kuna sk kabla ile mtu anaota
hizo ndoto kwamba anafanya mapenz ndotoni
Sasa niliona live akiwa anaandaa mazingira ya kunichezea
Ah anaanza kuingia kitandani kwanza oyaa eh ukiomba ukutane nalo kabla halijaanza hulal
Nani aendelee kulala eh
Nilishtuka kwanza sikutaka nilione cha 2 limtu linavuta shuka
Eh nani abak kuvumilia
Hatar

Nikusali tu
 
Tafuta dem bro ni nyege tu izo
GosTIfuasAAIgUX.jpeg
 
Hiyo sio ndoto
Nafsi ilichukuliwa kwenye ulimwengu wa kiroho na humo huwa unafeel vitu kiukwelii
Pole ila kwa mtazamo wangu ndoto kila bunamu naamini huwa anaota sasa hapo hutegemeana hasa uchovu,mawazo yaliyokujaa kichwani na chakula ulichokula kabla ya kulala.

Ukikaa sasa ukapembua utapata jibu mwenyewe. Ndoto ya kweli kwangu huwa inatabia ya kujirudia yaan hata kama naimba au nawaza kitu fln ghafla inakuja.
 
Izo ndoto mbaya zimekutokea bcz hukusoma dua ya kulala as a muslim
Unachotakiwa kufanya ukiota ndoto mbaya tema mate upande wako wa kushoto mara 3 hlf mlaani sheitwani hlf soma dua ya kulala au kma utaweza kachukue udhu
Mwisho ukiona sehemu huielewi soma adhana ndugu hakika ya masheitwani wakisikia adhana hukimbia mbio nyingi sana
 

Attachments

  • C3A7D2CE-E777-4CFB-93CD-55AE7F4D9F66.jpeg
    C3A7D2CE-E777-4CFB-93CD-55AE7F4D9F66.jpeg
    53.7 KB · Views: 11
Usijali mkuu ni ubongo ulipata changamoto wakati wa kuhifadhi kumbukumbu wala hamna mambo ya uchawi wala nini. Zingatia usafi,kula kwa kiasi na kujitahidi kupunguza mawazo kabla ya kulala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom