EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,187
- 20,640
Acha kulala na ma Ma qu'ran
Mkuu hizo ni ndoto tu na hazina maana yoyote......just relaxWakuu wasalam
Kwanza naomba kabla ya yote Mshana Jr ujibu PM mkuu kuna wengine tukija kukata moto jua ni makosa yako kushindwa kutuhudumia aiseeee
Wakuu kiufupi nimestuka mda huu baada ya kuota ndoto ambayo nitasimulia kama ifuatavyo
Nipo chumbani nimelala mwenyewe mda huo mama pia yupo kwake kalala kivyale, mii ile nime lala sio usingizi lakini nikastuka pap baada ya kumuona mama SUPU ambaye anatoka chumba kingine. Baada ya kumuona alikua kabeba mtoto mgongoni hapo akastuka akaniambie usiogope ndo mana nimepita huku.
Mimi baada ya kuskia hv nikatoka chap nikaenda chumbani kwa mama, nikamwambia mama humu ndani mi sipawezi, mama nikamkuta nae ameamka akasema mwannangu humu ndani leo pazito mi na mama wote tukatoka nje mama akasema mwanangu tutaa nje leo.
Baada ya kutoka nje tunakutana na watu kibao nao wakiwa na nguo za kulalia mda huo huku wakiwa wameshikwa au tuseme wamepigwa na butwaaa baada ya kuona kuna ajari hapo nje imetokea.
Katoka hiyo ajari tunaambiwa kuna mtu mmoja amekufa. Lakini mda huo dereva wa hyo gari ni jamaa anacheka cheka tu kama ndondocha.
Mda tunahsangaa ajari nakuta mama kapotea pale nje nimebaki peke angu nimezungukwa na watu wengi wamevaa pampas alafu zile pampas zimetuna kwa mbel wanaimba huku wananizunguka..
Nikawa namwita mama huku naziba masikio mda huo gari tena silioni. Wale watu wameimba weee mpaka wakanisogelea wakanishika mkono wakawa wananipeleka makabulini.
Kufika makabulini nakutana na mama supu na kale katoto wapo uchi hapo wakanilazs makaburini alafu akaja mmama mkubwa ana minyama nyama akawa ananikalia yupo uchi huku anajisugua kama anataka kuniua sijui.
Hapo akawa analazimisha tufanye mapenzi,ila nikawa naogopa akawa anasema ili hawa waondoke ni mpaka mimi nimuingilie ,nikawa naogopa ipa nikaanza kumuingilia ila nikawa nafanya kwa uwoga mpaka akanipiga kibao cha nguvu kwenye shavu nikastuka..
Ndo nimestuka mda huu wakuu nimekuta kweli dhikili yangu imesimama nganganga ila sijajichafua..
Kingine huyu mama supu ni yule maza ambaye kuna kipindi alikua anasema kwa watu kama mimi namkula kumbe uwongo hata nilikua simtaki wakuu..
Hii ndoto sijajua maana yake nini ila baada ya kustuka nimesoma
Ikhilas 1
Naas 1
Farak 1
Nashirah 1
Mwaka huu.... Plas mapepa haya alafu tunalogana mi nakula Mtu makaburini
Uwezi sema ndotonyevu wakati mi mtu mzimanaunga mkono hoja
Mkuu mimi ndo nifikilie kulala makaburiniMzee hamna ulozi hapo, umeota unachokifiri muda mwingi.
Leo naenda kutafuta chumba mkuu..Hama nyumbani.....
Ahahahahha acha nasikhara weweUlikuwa kifungoni
Alf huyo jini mahaba alikuja usiku kufanya mapenzi na wewe
Kuna sk kabla ile mtu anaota
hizo ndoto kwamba anafanya mapenz ndotoni
Sasa niliona live akiwa anaandaa mazingira ya kunichezea
Ah anaanza kuingia kitandani kwanza oyaa eh ukiomba ukutane nalo kabla halijaanza hulal
Nani aendelee kulala eh
Nilishtuka kwanza sikutaka nilione cha 2 limtu linavuta shuka
Eh nani abak kuvumilia
Hatar
Nikusali tu
Nawaza hvo staki mazoea nae kabisa nishaanza kumkimbiaHuyo sio mtu mzuri
Mademu wangapiTafuta dem bro ni nyege tu izoView attachment 3393422
Ndo nini hiiHiyo sio ndoto you was taken in spiritual realm
Mkuu usafi ni 💯 ila hapo kwenye kula labdaUsijali mkuu ni ubongo ulipata changamoto wakati wa kuhifadhi kumbukumbu wala hamna mambo ya uchawi wala nini. Zingatia usafi,kula kwa kiasi na kujitahidi kupunguza mawazo kabla ya kulala.
We mchawi niniAcha kulala na ma Ma qu'ran
Kule makaburini skukutana na mama supu mkuuMama supu anagawa supu...
Kuwa na adabu mkuu hata ungekua wewe usingemla huyu mma supu...Kama Mama Supu Liko Njema Na Lina Supu Malizana Nalo Kiume,,,Litoe Wenge Ile Apunguze Unaa....
We jamaa ujitambui..FUA MASHUKA 😂😂
We jamaa humu wanakuita genius ngoja nijaribu ushauri wako..Ndoto pevu tuu hiyo, inawezekana hujalomba muda mrefu em tafuta hata dada poa upige kimoja cha chap ili kuweka akili sawa