Nimeota ndoto ya ajabu muda huu...

Nimeota ndoto ya ajabu muda huu...

Wakuu wasalam
Kwanza naomba kabla ya yote Mshana Jr ujibu PM mkuu kuna wengine tukija kukata moto jua ni makosa yako kushindwa kutuhudumia aiseeee

Wakuu kiufupi nimestuka mda huu baada ya kuota ndoto ambayo nitasimulia kama ifuatavyo

Nipo chumbani nimelala mwenyewe mda huo mama pia yupo kwake kalala kivyale, mii ile nime lala sio usingizi lakini nikastuka pap baada ya kumuona mama SUPU ambaye anatoka chumba kingine. Baada ya kumuona alikua kabeba mtoto mgongoni hapo akastuka akaniambie usiogope ndo mana nimepita huku.

Mimi baada ya kuskia hv nikatoka chap nikaenda chumbani kwa mama, nikamwambia mama humu ndani mi sipawezi, mama nikamkuta nae ameamka akasema mwannangu humu ndani leo pazito mi na mama wote tukatoka nje mama akasema mwanangu tutaa nje leo.

Baada ya kutoka nje tunakutana na watu kibao nao wakiwa na nguo za kulalia mda huo huku wakiwa wameshikwa au tuseme wamepigwa na butwaaa baada ya kuona kuna ajari hapo nje imetokea.

Katoka hiyo ajari tunaambiwa kuna mtu mmoja amekufa. Lakini mda huo dereva wa hyo gari ni jamaa anacheka cheka tu kama ndondocha.

Mda tunahsangaa ajari nakuta mama kapotea pale nje nimebaki peke angu nimezungukwa na watu wengi wamevaa pampas alafu zile pampas zimetuna kwa mbel wanaimba huku wananizunguka..

Nikawa namwita mama huku naziba masikio mda huo gari tena silioni. Wale watu wameimba weee mpaka wakanisogelea wakanishika mkono wakawa wananipeleka makabulini.

Kufika makabulini nakutana na mama supu na kale katoto wapo uchi hapo wakanilazs makaburini alafu akaja mmama mkubwa ana minyama nyama akawa ananikalia yupo uchi huku anajisugua kama anataka kuniua sijui.

Hapo akawa analazimisha tufanye mapenzi,ila nikawa naogopa akawa anasema ili hawa waondoke ni mpaka mimi nimuingilie ,nikawa naogopa ipa nikaanza kumuingilia ila nikawa nafanya kwa uwoga mpaka akanipiga kibao cha nguvu kwenye shavu nikastuka..

Ndo nimestuka mda huu wakuu nimekuta kweli dhikili yangu imesimama nganganga ila sijajichafua..

Kingine huyu mama supu ni yule maza ambaye kuna kipindi alikua anasema kwa watu kama mimi namkula kumbe uwongo hata nilikua simtaki wakuu..

Hii ndoto sijajua maana yake nini ila baada ya kustuka nimesoma
Ikhilas 1
Naas 1
Farak 1
Nashirah 1
Mwaka huu.... Plas mapepa haya alafu tunalogana mi nakula Mtu makaburini
zile pampas zimetuna kwa mbel wanaimba huku wananizunguka..
 
hizi ndoto za ajabu ajabu ndio ndoto naota kila siku,niliwahi kuota ndoto moja tu yenye kueleweka kijijini mwaka 1997 kwamba cinema imekuja kijijini na kweli ikaja siku hiyo,baada ya hapo ni hizi tu za jogoo kuwika akiwa anaongea huku kavaa earphone,mara umeokota hela ziko kwenye mfuko wenye matairi,au jiran kaamua kukutunuku ila sharti mfanyie uwanja wa mpira yaani dah,napuuzaga tu.
 
Mmmmh aiseeee kwanini umewaza hvi mkuuu
Mkuu kabla sijashtuka na kuachana na ujinga wa kiimani za SUPERNATURAL kama
Mungu,Shetani/majini, Uchawi, Roho, life after death nk nilikua MJINGA sana
Yaani kila nikikumbuka enzi zile najiuliza hivi zilikua ni akili zangu hizi au nilikua nimewehuka?

Changamoto moto zangu zote za kimaisha niliamini ni kwasababu za kiimani na suluhisho lake nilikua naona ni shortcut za kiimani zitamaliza... ama kanisani kwa Mungu au kwa wanajimu na wasafisha nyota nk

Toka nilipokuja kubaini kwamba vitu vinakwenda scientifically nikaachana kabisa na huo UJINGA

Hakuna kitu cha maana unaweza kupata kutoka kwenye hizo imani zaidi ya kufanywa mjinga labda uwe mchungaji ule sadaka au uwe mganga ule hela za wateja wako
 
Wakuu wasalam
Kwanza naomba kabla ya yote Mshana Jr ujibu PM mkuu kuna wengine tukija kukata moto jua ni makosa yako kushindwa kutuhudumia aiseeee

Wakuu kiufupi nimestuka mda huu baada ya kuota ndoto ambayo nitasimulia kama ifuatavyo

Nipo chumbani nimelala mwenyewe mda huo mama pia yupo kwake kalala kivyale, mii ile nime lala sio usingizi lakini nikastuka pap baada ya kumuona mama SUPU ambaye anatoka chumba kingine. Baada ya kumuona alikua kabeba mtoto mgongoni hapo akastuka akaniambie usiogope ndo mana nimepita huku.

Mimi baada ya kuskia hv nikatoka chap nikaenda chumbani kwa mama, nikamwambia mama humu ndani mi sipawezi, mama nikamkuta nae ameamka akasema mwannangu humu ndani leo pazito mi na mama wote tukatoka nje mama akasema mwanangu tutaa nje leo.

Baada ya kutoka nje tunakutana na watu kibao nao wakiwa na nguo za kulalia mda huo huku wakiwa wameshikwa au tuseme wamepigwa na butwaaa baada ya kuona kuna ajari hapo nje imetokea.

Katoka hiyo ajari tunaambiwa kuna mtu mmoja amekufa. Lakini mda huo dereva wa hyo gari ni jamaa anacheka cheka tu kama ndondocha.

Mda tunahsangaa ajari nakuta mama kapotea pale nje nimebaki peke angu nimezungukwa na watu wengi wamevaa pampas alafu zile pampas zimetuna kwa mbel wanaimba huku wananizunguka..

Nikawa namwita mama huku naziba masikio mda huo gari tena silioni. Wale watu wameimba weee mpaka wakanisogelea wakanishika mkono wakawa wananipeleka makabulini.

Kufika makabulini nakutana na mama supu na kale katoto wapo uchi hapo wakanilazs makaburini alafu akaja mmama mkubwa ana minyama nyama akawa ananikalia yupo uchi huku anajisugua kama anataka kuniua sijui.

Hapo akawa analazimisha tufanye mapenzi,ila nikawa naogopa akawa anasema ili hawa waondoke ni mpaka mimi nimuingilie ,nikawa naogopa ipa nikaanza kumuingilia ila nikawa nafanya kwa uwoga mpaka akanipiga kibao cha nguvu kwenye shavu nikastuka..

Ndo nimestuka mda huu wakuu nimekuta kweli dhikili yangu imesimama nganganga ila sijajichafua..

Kingine huyu mama supu ni yule maza ambaye kuna kipindi alikua anasema kwa watu kama mimi namkula kumbe uwongo hata nilikua simtaki wakuu..

Hii ndoto sijajua maana yake nini ila baada ya kustuka nimesoma
Ikhilas 1
Naas 1
Farak 1
Nashirah 1
Mwaka huu.... Plas mapepa haya alafu tunalogana mi nakula Mtu makaburini
sasa huyo ulie mtag atakusaidia nini kiazi huyo?
 
secretarybird mwenzio katokewa na mama supu wewe utatokewa na mama chukuchuku,

Hizo ndoto zina maana

Kwanin wewe na mama muamuke ?

Mmekuta nje Kuna ajali ?

Kwann mama apotee ubaki peke yako ?

Kwann uzungukwe na watu wamevaa pampas?

Mbona umepelekwa makaburini ?

Kwann jimama lenye nyama likukalie na kutaka umle Tena ni makaburini,

Mimi sio mtu wa dini,

Hapo Kuna namna nyota/nguvu /kibali chako kinapotezwa kupitia ukiwa umelala na watu, either mishangaz unayolala nayo ishakuchukulia nyota, ama Kuna jini mahaba linakutaka likuzuie usiwe na nguvu ndani yako,

Makaburini wanakaa wafu, kitu kisichoongea wala kufanya kazi,

Ina maana nguvu/nyota / kibali vikiekwa makaburini ni kwamba wanaziua kama ni pesa hupati, kazi, mke, connection n.k

Kwann uzungukwe na watu waliovaa nguo za kitoto,

Unarudishwa nyuma, au Kuna kitu unapaswa ujifunze ama una kipitia ujifunze utoke hapo uende mbele

Unapofanya sex makaburini, Ina maana utamwaga je huoni shahawa zako ndo zitakuwa kafara yenyewe ? Ili Ibada ya kukufunga itimie lazima watoe kafara,

Kafara yao ni sperm zako,

Kwaherii pua bureini mpka wakati mwingine
Mimi akitokewa na mamusapu nampiga shoo bila hiana.
 
Wakuu wasalam
Kwanza naomba kabla ya yote Mshana Jr ujibu PM mkuu kuna wengine tukija kukata moto jua ni makosa yako kushindwa kutuhudumia aiseeee

Wakuu kiufupi nimestuka mda huu baada ya kuota ndoto ambayo nitasimulia kama ifuatavyo

Nipo chumbani nimelala mwenyewe mda huo mama pia yupo kwake kalala kivyale, mii ile nime lala sio usingizi lakini nikastuka pap baada ya kumuona mama SUPU ambaye anatoka chumba kingine. Baada ya kumuona alikua kabeba mtoto mgongoni hapo akastuka akaniambie usiogope ndo mana nimepita huku.

Mimi baada ya kuskia hv nikatoka chap nikaenda chumbani kwa mama, nikamwambia mama humu ndani mi sipawezi, mama nikamkuta nae ameamka akasema mwannangu humu ndani leo pazito mi na mama wote tukatoka nje mama akasema mwanangu tutaa nje leo.

Baada ya kutoka nje tunakutana na watu kibao nao wakiwa na nguo za kulalia mda huo huku wakiwa wameshikwa au tuseme wamepigwa na butwaaa baada ya kuona kuna ajari hapo nje imetokea.

Katoka hiyo ajari tunaambiwa kuna mtu mmoja amekufa. Lakini mda huo dereva wa hyo gari ni jamaa anacheka cheka tu kama ndondocha.

Mda tunahsangaa ajari nakuta mama kapotea pale nje nimebaki peke angu nimezungukwa na watu wengi wamevaa pampas alafu zile pampas zimetuna kwa mbel wanaimba huku wananizunguka..

Nikawa namwita mama huku naziba masikio mda huo gari tena silioni. Wale watu wameimba weee mpaka wakanisogelea wakanishika mkono wakawa wananipeleka makabulini.

Kufika makabulini nakutana na mama supu na kale katoto wapo uchi hapo wakanilazs makaburini alafu akaja mmama mkubwa ana minyama nyama akawa ananikalia yupo uchi huku anajisugua kama anataka kuniua sijui.

Hapo akawa analazimisha tufanye mapenzi,ila nikawa naogopa akawa anasema ili hawa waondoke ni mpaka mimi nimuingilie ,nikawa naogopa ipa nikaanza kumuingilia ila nikawa nafanya kwa uwoga mpaka akanipiga kibao cha nguvu kwenye shavu nikastuka..

Ndo nimestuka mda huu wakuu nimekuta kweli dhikili yangu imesimama nganganga ila sijajichafua..

Kingine huyu mama supu ni yule maza ambaye kuna kipindi alikua anasema kwa watu kama mimi namkula kumbe uwongo hata nilikua simtaki wakuu..

Hii ndoto sijajua maana yake nini ila baada ya kustuka nimesoma
Ikhilas 1
Naas 1
Farak 1
Nashirah 1
Mwaka huu.... Plas mapepa haya alafu tunalogana mi nakula Mtu makaburini
Hiyo ni wet dream.
 
Ni kwel..ndoto ya kujirudia ni ya ukwel..kuna jamaa angu amepanga kwenye nyumba moja yenye bibi ambaye ni mlemavu wa miguu..inasemekana huyo bibi ana kamati hatari...jamaa kila akianza kusinzia tu bibi anamtokea na anampiga show ile mbaya....ilitokea ndan ya wiki moja non stop ikabid ahame pale
Kuna Uzi humu sikumbuki vzr lkn ulikuwa unasema Kuna wachawi walinasa mahali na walikuwa na mvuto wajuba wakapima oil mchana kweupe bila kujari uchawi wao😹😹😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom