Santi
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 540
- 1,197
Mheshimiwa hakimu, nakupongeza kwa uwamuzi wako.Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.