RIZIKI ALLYS MUHUNZI
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 634
- 751
Dah bora zinyeeshe maana kuna ukame hatariii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndoto na toka uanze thread zako 2013 unaota ,ndoto usipotamka hadharani huja kuwa kweli ikitamkwa inabaki ndoto .Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Mzee upo,TISS nini? Maana info hiyo ni ya ndani sana na ni kweli imetokeaWakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Mkuu kama una undugu na system or whatsoever kuwa makini.,,,,
Huyo atakua yupo kwenye familia nzito, au ana ndugu mzito serikali.wewe jamaa utakuwa mtu wa ndani sana
Wewe ndoto zako zinahusu kesi tu, unaonekana una ukaribu na watumishi wa mahakama.Jana nimeota nyingine ila Bora nikae kimya naona wameshaanza kunifuatafuata
ndoto ilikuwa bara bara,tiari huko lijua likali limemuwakia mtu hukoMkuu.....
Bila shaka umelala bila kula. Na bahati mbaya ukapiga na viroba kabla ya kulala
Hana lolote muota ndoto..mziki wapige wao kucheza wacheze wao..anajifanya ameota ndoto wakati movie anaijua?Hongera kwa kuota
Huna lolote wewe Mungu atawaona kwa mlichokifanya..mnajulikana mbona?Watu walidhihaki kuwa Mimi mnywa viloba Mara mzushi tu
Angesema TB Joshua mngemwaga sifa kemkem ila kasena Mzushi basi imeshakuwa nongwa .mkuu kubalini Na vya kwenu kuota ndoto tu kwangu nimeshakuwa hakimu au mzee wa Baraza.Uliota ama ulikuwa kwenye kikao cha mashauriano mmgonge miezi ama miaka miaka mingapi ila mmegonga 6 months