Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
- Thread starter
- #21
asubuhi gospel,jioni nini....????
mpira!
asubuhi gospel,jioni nini....????
Ngurumo za upako siyo!!!Bwana ni mwema poke makofi yangu shangwe na vigele gele Ameeeeen...........God bless you.Nimeonja pendo lako nikajua u mwemaaa,nitakushukuru nitawainua wote wakusifu wewe!
Na upole wako Bwana,na huruma yako wewe,umenitendea wema usiopimika,Nitakushukuru na kukutukuza wewe.
Kina baba simameni ukapige makofi*2
rudia kiitikio.
Tumsifu GOD
RealJapo umeuliza kibaa baa nakujibu tuu... mtunzi ni Bernad Mukasa, mtunzi mahiri wa enzi hizo...lakini hazikumtoa sana kwani enzi hizo muziki wa injili ulikuwa haulipi kidunia dunia kama sasa, ila ukweli nyimbo zake ni tamu mno