Kipipi kama hiyo avatar ni wewe na bado hujapata wakukunulia Prado, basi jinyonge. Hoyaa, mbona unajiachia na mafinga mwenyewe kwa mwenyewe?
mi mwenyewe ndo nashangaa sikulijua hili..
Nichangieni kwanza rambirambi mnikabidhi alafu ndio nijinyonge!!! Dah.....mshikaji ilo swali sijakuelewa, kujiachia na mafinga mwenyewe kwa mwenyewe, maanake nini??
Mwanaume akiwa mmbea aibu sana ..
Ribosome,
Matokeo ya fom foo yaliyotoka juzi, umepata divisheni gani?
Hata hujui ni nani unae muongelea..Au ulikuwa wewe?
Hata Mheshimiwa Sugu anawakilisha na ndio kwao huko.
Hata hujui ni nani unae muongelea..
Mwanaume mzima utavuliwa suruali usutwe..
Kama unajiamini kweli si uweke mambo
Hadharani ..weka hiyo picha sema ni ya nani .
Otherwise we ni mmbea wa kutupiliwa mbali ..
Na aibu huna ..
Nna uhakika utakuwa upo tofauti na avatar yako, kuvuliwa suruali mbona raha tu, wewe huvuliwi?
Usingetokwa povu ingekuwa haijakugusa.
Wewe na Mwali mnatumia picha zenu?hilo nalitambua.... Mwali yupo juu...
Mie siitazami ile (sambusa), inatisha huwa naila tu.
Nna uhakika utakuwa upo tofauti na avatar yako, kuvuliwa suruali mbona raha tu, wewe huvuliwi?
Usingetokwa povu ingekuwa haijakugusa.
Wewe na Mwali mnatumia picha zenu?
Mbona uliniambia unafanana tu na huyo hapo kwenye avatar kama mapacha?
Kipi kweli?lol
wewe ni mtz ?