Nimeondokewa na baba yangu!

Nimeondokewa na baba yangu!

Nilileta taarifa hapa za kutafuta Damu ya kumuongezea baba, nilipata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwenu!! Ila Mungu kampenda zaidi, tutakuwa dar kwakipindi kifupi then tutaelekea kirua vunjo moshi kwa mazishi. Bwana ametoa naye ametwaa jina lake lihimidiwe Amina

pole sana mkuu kwa kufiwa na mzee.mungu awape ujasiri ktk kipindi hiki kigumu cha msiba.
 
Pole sana maege na wafiwa wote...

RIP Mzee
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ndugu yetu Maege!

Mungu mwema awafariji nyote!
 
Pole sana mkuu,,ni safari yetu wote,baba yetu katutangulia.Mwenyezi Mungu aiweke roho ya baba yetu mahali pema peponi,Amina!
 
Pole Mkuu Mungu azidi kukupa nguvu. RIP baba yetu.
 
Nilileta taarifa hapa za kutafuta Damu ya kumuongezea baba, nilipata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwenu!! Ila Mungu kampenda zaidi, tutakuwa dar kwakipindi kifupi then tutaelekea kirua vunjo moshi kwa mazishi. Bwana ametoa naye ametwaa jina lake lihimidiwe Amina

R. I. P baba yake maege
 
Last edited by a moderator:
may dad's soul rest in eternal peace ..pole mkuu maege
 
Last edited by a moderator:
pole kwa msiba Mungu awape faraja tele mko dar sehemu gani?
au mmeshaondokakwenda kuzika moshi vunjo? pls tuahabarishe
Nilileta taarifa hapa za kutafuta Damu ya kumuongezea baba, nilipata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwenu!! Ila Mungu kampenda zaidi, tutakuwa dar kwakipindi kifupi then tutaelekea kirua vunjo moshi kwa mazishi. Bwana ametoa naye ametwaa jina lake lihimidiwe Amina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom