Location : Masaini
RIP baba yetu. Mungu awape amani na faraja wakati huu mgumu!
hii ndo sura yako?
Nilileta taarifa hapa za kutafuta Damu ya kumuongezea baba, nilipata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwenu!! Ila Mungu kampenda zaidi, tutakuwa dar kwakipindi kifupi then tutaelekea kirua vunjo moshi kwa mazishi. Bwana ametoa naye ametwaa jina lake lihimidiwe Amina