Nimeondokewa na baba yangu!

Nimeondokewa na baba yangu!

Yuko wapi mtu jeuri na Kiburi kama FARAO?

Yuko wapi leo hii Tajiri wa Matajiri kama SULEIMAN?

Yuko wapi mtu Mzuri na Mtanashati kama nabii YUSUF?

Yuko wapi Mwanamke mrembo na Mdanganyifu kama DELILA

Yuko wapi leo hii kipenzi chake MUNGU (BABA WA IMANI) IBRAHIMU?

Wote wapo ndani ya tumbo la Ardhi.

Ama hakika kwake tutarejea!

Vipi mimi na wewe tumejiandaaje na safari hii nzito?

Pole sana
 
pole saaana maege, my gud who is in heven will give you da strength, R.I.P, for your dady
 
maege pole sana
MUNGU awape faraja katika kipindi hiki kigumu
 
Last edited by a moderator:
pole sana mkuu. Mungu awape nguvu
 
Pole sana mkuu... Pole sana na Baba alale mahala pema.
 
Pole sana maege kwa kipindi kigumu ulicho nacho cha kuondokewa na Baba..!

Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi.... AMEEEN..!
 
Last edited by a moderator:
Nilileta taarifa hapa za kutafuta Damu ya kumuongezea baba, nilipata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwenu!! Ila Mungu kampenda zaidi, tutakuwa dar kwakipindi kifupi then tutaelekea kirua vunjo moshi kwa mazishi. Bwana ametoa naye ametwaa jina lake lihimidiwe Amina

Pole sana Mkuu..
Pole sana manake nayafahamu vyema maumivu yake!!
Msibs uko wapi!?
 
Pole sana maege.. Bwana alitoa na Bwana ametwaa.. Jina lake lihimidiwe.. Ninamuomba Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu kwako..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom