Nadhani ni namna ya kuona kama mfukoni unaweza kuchangia ^kodi ya uzalendo^Ukiona hivyo jua kwamba mwanamke hajavutiwa na wewe lakini anatumia kauli ambayo haitakuvunja moyo..😂😂😂
Acha ufalla dogo, unampa business card na msimbazi atakutafuta yeye. Msitumie nguvu kubwa, acha dem akusake mwenyewewiki iliyopita nimebahatika kukutana na mabinti kama watatu, hivi njian kwenye harakati zangu, huku na huku stori za hapa na pale......dakika za mwisho kabisa naomba namba ananiambia sina simu.
MaMen tunafanyaje katika hilo suala najua tupo wengi
Simu kitu gani bwana kama umependa? Siku hizi zipo simu mpaka za $100, kama unapendapenda mademu vunja kibubu ingia Kariakoo.wiki iliyopita nimebahatika kukutana na mabinti kama watatu, hivi njian kwenye harakati zangu, huku na huku stori za hapa na pale......dakika za mwisho kabisa naomba namba ananiambia sina simu.
MaMen tunafanyaje katika hilo suala najua tupo wengi
Umetisha mzee babaSimu kitu gani bwana kama umependa? Siku hizi zipo simu mpaka za $100, kama unapendapenda
Una punguza hilo neno dah, Unamwambia tu "poa"ausio unaishia kusema dah poa
Ukiwa bahili utaishia kula kwa macho tuuUmetisha mzee baba
Mzee umeupiga mwingi sana hahahaa.Ukiwa bahili utaishia kula kwa macho tuu
Hii fani inataka uwekezaji wa maanaMzee umeupiga mwingi sana hahahaa.
Wengine huuliza hivo aone kama uko serious...ukimkazia anajaa, unabandua ngozi laini...sio kila demu ni mrahisi....wengine mpaka umzibue makofi ndo unamvua chupiUkiona hivyo jua kwamba mwanamke hajavutiwa na wewe lakini anatumia kauli ambayo haitakuvunja moyo..
Maisha yamerahisishwa mno
simu yangu yenyewe imefungwq rababendiSimu kitu gani bwana kama umependa? Siku hizi zipo simu mpaka za $100, kama unapendapenda mademu vunja kibubu ingia Kariakoo.
Kwa $500 unaweza kupata hadi simu 7 tena zenye snap chat.. Nunua na laini zake kabisa, full charge na vocha za kianzio, weka kwenye kibegi chako, ukikutana na mzigo ukakwambia hauna simu unachomoa tu moja na kumpatia
Huyo hajavutiwa na wewe we pita kushoto ukilazimisha utakuja kujuta au anaweza kukugeuza danga lake.Wiki iliyopita nimebahatika kukutana na mabinti kama watatu, hivi njian kwenye harakati zangu, huku na huku stori za hapa na pale......dakika za mwisho kabisa naomba namba ananiambia sina simu.
MaMen tunafanyaje katika hilo suala najua tupo wengi