Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Mpe papuchi yako aionje kwa raha zake then unogewe na game yake usahau kuwa umeolewa, lahaula mume kajua ndoa huna na kazini wote wanajua umeachika kwa kugawa papuchi kwa huyo jamaa yako unayedhani u amfeel kama vile katoka peponi, fanya hima genye zizidi ili ujue kwanini ulizaliwa mwanamke na mumeo mwanaume.
 
Usikae na mtu ambae huna feeling naye. Fanya maamuzi, ndo maana siku hizi hatufungi ndoa. Feeling zikiisha unahama. Later tutaamua mikataba. Na hili ntalipeleka bungeni.
 
pamoja na kumshaur huyu mwanamke asicheat ndoa yake lakin natumai wanaume wengi tumejifunza kitu kikubwa sana hapa.Mwanamke hahitaj pesa tu na mali ili kuwa na amani katika ndoa ,tusiwavunjie heshima wake zetu,,heshima ya ndoa si jukumu la mwanamke tu,,tusipo kuwa makin tutachapiwa hadi na wauza genge
Huu ushauri umekomaa. Asante
 
pamoja na kumshaur huyu mwanamke asicheat ndoa yake lakin natumai wanaume wengi tumejifunza kitu kikubwa sana hapa.Mwanamke hahitaj pesa tu na mali ili kuwa na amani katika ndoa ,tusiwavunjie heshima wake zetu,,heshima ya ndoa si jukumu la mwanamke tu,,tusipo kuwa makin tutachapiwa hadi na wauza genge
Ameeeen!
 
TUL
Wakuu nahitaji mawazo yenu kwa kipindi hiki cha majaribu nachopitia.

Mi nimeolewa nina miaka kama 9 kwenye ndoa na kwa kipindi hiki chote nimepitia mazuri na changamoto pia ila sikuwahi kujutia ndoa. Jamaa aliyenioa ni msomi na anajua kuitafuta hela. Kiufupi tuna maisha mazuri nina kila kitu nachokihitaji kama nyumba, usafiri wa maana na two beautiful kids.

Katika kipindi cha ndoa nimepitia changamoto kwa huyu mume wangu. Kiufupi anapenda starehe pombe kwa sana na company za washikaji. Mimi sio mnywaji wala sitoki kiivo nikitoka job ni home kuangalia watoto na nyumba. Kiufupi ni mke mwema flani! Yes najiamini kwa hilo. Jamaa nishafumania SMS za wanawake Mara kibao ila naishia kusamehe na sikuwahi kuwaza kulipiza. Huwa nasali sana nikipitia hizi changamoto na Mungu ananivusha salama.

Sasa basi kilichonifanya nilete huu uzi jamvini ni situation niliyonayo now. Kiufupi miezi kama 6 iliyopita nimekutana na jamaa katika kazi flani. Jamaa ana mvuto na alikua ananipa attention flani ivi throughout. Tuliclick haraka sana tukawa close. Ilitokea tu sijui kwanini. Nilinotice jamaa ananicare vibaya sana. Mwanzo nilichukulia poa ila siku zilivoendelea kwenda nikaanza kumfeel taratibu.

The eye contact was awkward btn us na imefika mahali najiona nashindwa kuresist. Nikiwa nae under one room nashindwa kabisa napoteza uchangamfu naishiwa pozi kabisa.Jamaa anaonyesha interest za wazi ila najikaza knowing kwamba am married ataniona a cheap woman.

Huwa tunaongea mambo mengi na ananieleza issues zake kibao. Kuna siku alinifungukia ila nikavunga nikamwambia its better tuwe mbalimbali coz mimi ni mke wa mtu na siwezi cheat on my husband. Baada ya hapo akanikaushia kama wiki. Aisee nilikonda kwa mawazo. Baadae tukaanza kuwasiliana upya na jamaa anaomba kidate na mimi anataka tuspend tym wawili. Kashanialika kwake mara kibao nachomoa. Imefika mahali najiona nitashindwa huko tunakoelekea siko.
Kiufupi kinachonitatiza ni haya yafuatayo:

1.Jamaa anajua mimi ni mke wa mtu so its obvious anataka game tu hakuna mapenzi.

2.Since ni coworker baada ya game nitamwangaliaje ofisini?

3.Naogopa reputation yangu among my workmates wakijua nimetoka na jamaa since wanaume hawana siri. Aisee mi ni mdada ninayejiheshimu na wananiona nina bonge la mume.

4.Namfeel mno jamaa na siimagine kupotezea hizi feeling. Ni mtu anayenifanya niwe happy muda wote, confident about myself na I feel lyk a woman again.

Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence, kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
IZA MZUKA TAKE THE BIBLE AND READ ONE VERSE EVERY TIME U FREE
HESHIMU NDOA YAKO HASA WANAO WAZURI...
Swali akija na mwingine ukanfeell huoni utakuwa useless JITAMBUE NA KEMEA
 
achana na huyo shetani dear hata kama una nyege bora ukapige game mbali huko heshima hainunuliwi mamii
Umemshauri vizuri lakini kusema akapige game mbali siyo kabisa. Atulie na mumewe. Atajipotezea heshima yake milele
 
It takes two to tangle. Kweli kizazi chetu cha sasa hivi kimekomaa tu na "kudumu" katika Ndoa, haijalishi huna furaha wala nini, wewe kaa tu humo hadi kifo kitakapokukuta. Kila mahusiano au hata kuwa single kuna changamoto na Uvumilivu unahitajika , but mahusiano yanapokuwa "project ya Uvumilivu", that's too much Abeg

Kuna watu wanaishi kwenye ndoa ila mioyo, akili, hisia na utu wao umekufa kabisa. Ni vile tu hawezi kutoka humo kwenye ndoa, kwanza jamii itamuonaje? Mpumbavu aliyeshindwa ndoa? Hawa wanaume ni kama maboss kwenye ndoa, mke jitahidi tu kushikilia ndoa yako, ukichoka ndo na ndoa imechoka, mume yeye hahusiki katika kuitunza ndoa. So sad, sijui watoto wetu wa kiume watakuwa waume wa aina gani huko baadaye
Watu wamezoea kuishi kinafiki na kuzidanganya nafsi zao
 
It takes two to tangle. Kweli kizazi chetu cha sasa hivi kimekomaa tu na "kudumu" katika Ndoa, haijalishi huna furaha wala nini, wewe kaa tu humo hadi kifo kitakapokukuta. Kila mahusiano au hata kuwa single kuna changamoto na Uvumilivu unahitajika , but mahusiano yanapokuwa "project ya Uvumilivu", that's too much Abeg

Kuna watu wanaishi kwenye ndoa ila mioyo, akili, hisia na utu wao umekufa kabisa. Ni vile tu hawezi kutoka humo kwenye ndoa, kwanza jamii itamuonaje? Mpumbavu aliyeshindwa ndoa? Hawa wanaume ni kama maboss kwenye ndoa, mke jitahidi tu kushikilia ndoa yako, ukichoka ndo na ndoa imechoka, mume yeye hahusiki katika kuitunza ndoa. So sad, sijui watoto wetu wa kiume watakuwa waume wa aina gani huko baadaye

Sad kwa kweli, maigizo kwenye kila kitu. Watu wanaonyesha happily married kumbe ni terribly married.
 
Hii kitu ndo inanisababisha NIACHE KUOA kwa wakati huu.Yan mwanamke unatimiziwa kila kitu na bado unashindwa kujizuia kwa kutaka kutoka nje ya ndoa.
Kama umempenda huyo jamaa ni vema uombe TARAKA kwa mumeo na kisha ukaolewe nae.
Maana kitendo cha kusema huwezi jizuia hii ni CRITICAL POINT aseee....utagongeka tu
POINT OF CORRECTION: Huyo mke hatimiziwi kila kitu. Kipo anachomiss ndio maana yupo hivyo!
.
.
Usifikiri material things peke yake ndio kitamfanya mke atulie. Hapo wengi ndio mnapokosea.
.
.
Ni kama mwanaume anaweza akawa na mke mzuri na anatimiziwa kila kitu na bado atachepuka tu.
 
I understand the hard time you are facing,all i can say let them judge you lakin ukiongea ata kwa mtu asikujua like in here unapunguza mzigo mkubwa moyoni.
All i can say listern to your heart.
 
Huyu mwanamme sio striker mzuri!
Angekuwa kweli Juma Mgunda wa ukweli angepiga hiyo ngozi manyoya longtime sana!
Jamaa ni bwege tu!Mnyama yupo kibra anashindwa kuchinja?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom