- Thread starter
- #41
We nimpuuz.taifa linaangamia wewe unaokota ngungul mpeleke demu wako.naukome kuleta habar za udaku humu nyvma yako
ona sasa,kila mtu anakuzodoa wewe,
shida za tumbo ukizipeleka kichwani unakuwa chizi
We nimpuuz.taifa linaangamia wewe unaokota ngungul mpeleke demu wako.naukome kuleta habar za udaku humu nyvma yako
Bajabiri nawe, uliziokota ili iweje?
Tumeununua Ugomvi nawe Ukapotea Jumla Bajabiri.
Nini tatizo?
Au una Multiple?
Au una Kisa nae,kaja ki-New?
Tumeununua Ugomvi nawe Ukapotea Jumla Bajabiri.
Nini tatizo?
Au una Multiple?
Au una Kisa nae,kaja ki-New?
Afu nishawahi pewa lifti na mkaka mmoja hv,
Nilipokaribia kushuka akapandisha T-shirt yake akanionyesha shanga halafu akaniachia namba za simu akanambia kama kuna mteja nimtafutie.
Aisee mpaka leo sijaelewa anamaanisha Mteja wa nini?
Wa Kununua Shanga au Wa Kumuuzia 0713!!.
Ila King'asti ni kweli si wavaaji wote wa shanga ni wanawake,hata wanaume wanavaa.
:biggrin1: hilo swala tumuulize bishanga ndo anajuaga hayo mambo
nami niliwah sikia kua wapo wanaume wanao wanavaa shanga
nami niliwah sikia kua wapo wanaume wanao wanavaa shanga
eep:Zitakuwa za yule @ New york city, USA
hapo ndo nnapokukubali makavu live hutafuni neno.Hv inakuwaje mtu analeta Post yake halafu anatokea jitu lingine kama wewe BAHARIAA na unaanza kuikashifu?
Unakera hamna tu wa kukuambia.
Shenz taipu.
Weka Upuuzi wako unaouona wa maana.
Acha dharau.
Afu Bajabiri mbona unaongea kwa Upole sana,Me Sipendi bhana.
Changamka bhana,Kushakucha Chalii.
ilimradi usizitumie hizo shanga kama gia tu.
Na umri huo bado hujaonaga tu? Sasa wadhani wajisikia kuwaona nikupe details ukawaone ?
bwa bwa haooooooooooo wanataka olewaaaa mahari haijatolewa.nami niliwah sikia kua wapo wanaume wanao wanavaa shanga
mimi nakushauri uzitumie i mean uzivae
U mean Open University of Tanzania...of hao?
Hongera.