Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,950
- 32,088
hapo ndo nnapokukubali makavu live hutafuni neno.
Kaniudhi sana.
Afu we Philipo wewe,
we nitafute tu.
hapo ndo nnapokukubali makavu live hutafuni neno.
umeniacha HAPO MADAME B
bwa bwa haooooooooooo wanataka olewaaaa mahari haijatolewa.
Muite Philipo Kidwanga aje akusaidie best.
hahahahahaaa,,,,hope yupo YUPO
here i am kuna tatizo kidogo.hahahahahaaa,,,,hope yupo YUPO
Hv inakuwaje mtu analeta Post yake halafu anatokea jitu lingine kama wewe BAHARIAA na unaanza kuikashifu?
Unakera hamna tu wa kukuambia.
Shenz taipu.
Weka Upuuzi wako unaouona wa maana.
Acha dharau.
Bajabiri nakushauri,
weka sehemu ya wazi,nadhani mwenyewe akiziona atazichukua hata usiku.
madame b,wazo lako zuri ila wasiwas wangu ni kwamba zinaweza kukaa hapo kwa muda mref bila kupata mtu mana akiziweka waz muhucka anaweza kuona aibu kuzichukua.mi nashauri akuletee wewe uzitumie kwa shemeji
zirudishe huko huko bafuni...ila hapa najiuliza wewe Bajabiri ni me au ke?,
kama ni me hilo bafu huwa mnatumia na ke?
loh kama ni hivyo nahisi huwa mnaokota vingi zaidi ya shanga
madame b,wazo lako zuri ila wasiwas wangu ni kwamba zinaweza kukaa hapo kwa muda mref bila kupata mtu mana akiziweka waz muhucka anaweza kuona aibu kuzichukua.mi nashauri akuletee wewe uzitumie kwa shemeji
here i am kuna tatizo kidogo.
pangu pakavu bhana,,,,,ushauri mujarabu huu,madame b atapima hoja zako
Me Situmiagi chachandu jamani,
nimeshagawanyika tangu kigori!!
Ninge shangaa kama unge waficha hili jambo wangu!
Wamekuelewa vema.
madame b,wazo lako zuri ila wasiwas wangu ni kwamba zinaweza kukaa hapo kwa muda mref bila kupata mtu mana akiziweka waz muhucka anaweza kuona aibu kuzichukua.mi nashauri akuletee wewe uzitumie kwa shemeji
naomba nijibu kwa niaba ya mleta uzi,huwa ni la WOTE,na halina mlango kwa hyo ukioga unaoga kwa timing.