Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Mambo zenu wakuu,leo katika pita pita zangu nimeokota R2800/= ila kwasababu ndio nayaanza maisha naomba ushauri wenu nahitaji vitu viwili hivi kati ya Tv na DVD,je mnanishauri nianze kununua nini? Nitashukuru kwa ushauri wenu.Nalog off