Nimeokoka nimeacha pombe

Kweli , na pombe ni gharama lazima upambane ili utii kiu yako
 
Kweli , na pombe ni gharama lazima upambane ili utii kiu yako
Tena kama mfanyakaz. Hela ya mshahara hautakiwi kugusa kabisa kwenye bia.

Fanya hata udalali. Unganisha deals kadhaa upate mgao wako . Ishu ikitokea unajifanya unajua sana ili uwende ww kununua ule cha juu.
Na ndio hela za kuhemea bar 😊😊😊😊
 
Kabisa
 
Deal nying sana nasuka nikiwa na bia kichwan na nafanikiwa.
malengo unaweza timiza hata ukiwa mnywaji.

Ww unaweza usinywe pombe. Ukapata na hela na usiweze hata kununua kiwanja had unafika 50 yrs.
Huu nao sasa ni uzembe wa mwenyewe muhusika na of course tunao mitaani watu wa hivi sikatai ni sawa na wanywa pombe wanaozeeka hawana hata kiwanja.

Ila kwa mimi nisiye mnywaji (nikizingatia circle ya jamaa zangu wanywaji) naamini pombe inachelewesha sana baadhi ya vitu kama siyo kuvifelisha kabisa ndiyo maana post yangu ya mwanzo nikasema ukiwa ndani ya kundi hujioni kama unakosea na ni asili yetu binadamu siyo rahisi kuona unachokifanya siyo sahani
 
Hiyo circle yako ndio mbaya na sio pombe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…