Nimeogopa

Nimeogopa

Sasa nimeshapata jawabu kwanini uchumi wa taifa hili unamilikiwa na wageni na kwanini taifa hili linaendelea kuwa masikini pamoja kuzungukwa rasilimali kila kona ikiwa wenyewe au wenyeji muda wote na mahali popote wanawaza kudinyana mithili ya kuku...watu tena hawana muda wa kujiuliza maswali maswali magumu kuhusu mustakabali wa maisha yao na taifa kwa ujumla...badala yake mawazo yanaongozwa ni hisia za viungo vya uzazi...GOD BLESS CHINA...
 
hiyo technic jamaa wanakosea, ilitakiwa mmoja mwanamme atoke kazini mapema, wabaki watu wawili yaani jamaa mmoja na kasinde, hapo ndio ingekuwa poa, sasa dem mmoja na wanaume wawili hiyo haiwezekani may be hawako serious
 
Jerrymsigwa said:
Unaogopa nn sasa kwani we bikira? Acha bwana, ukute ushakua na mahusiano kibaaaooo huko siku za nyuma!
Ungekua bikira una haki ya kuogopa, lkn kwa ww mmh huna sababu kbs eti Kama ni bikra au sio nayo alitakiwa kuiweka hapa kaka.
 
Bestitoz MMU.

Kwa Kasie wiki hii yaliyojiri ni upande wa ofcn, tangu jumatatu ya wiki hii ofisini kwetu nimejikuta nakuwa mdada peke yangu na wababa 2.

Wengine mmoja kasafiri kikazi, mwingine yuko likizo mwingine yuko training kwa wiki 2 na mwingine yupo ia anaripoti kazini asubuhi kisha anatoka na kuingia kazi za nje.

Sasa tangu jumatatu wababa hao wamekuwa wakiniambia, Kasinde sasa tumebaki sisi tuu, sasa inakuweje.
mara waniambie umependeza sana, mara miguu yako mizuri, mara sijui imekuaje.

Yaani hawa wababa siwaelewi hata kidogo, kabla ya wiki hii huwa maongezi ofisini yako ya kawaida tuu ya utani na si ile ya kivileee. Mara waanze kusema unajua maofisi wengine wakibaki wawili huwa wanafanyana/wanadinyana, sasa hapa tumebaki sisi tuu sasa tufunge mlango.

Hapa nimejikausha wanapiga story zao mie niko busy najidai nimeconcetrate kwenye computer ila naomba ijuaa ifike salama maana huwa sina tabia ya kutoroka kazini siwezi, ingekuwa hivyo ningeshatoroka na kwaachia ofisi.

Tangu jana wananiganda nawanunulia lunch ofcourse tunakula hapahapa ofisini yaani, sijui wamepata genye za ghafla au ni nini kimewakumba.

Naogopa uu wasijenibaka Kasie wa watu, sijui niwatukane? au nianze kuwaongelesha kiingereza.

Maana wanaume wengine wakishapandishaga genye akili inakuwa haifanyi kazi kabisa.
Niombeeni wapendwa wiki 2 ziishe salama.
Na ujanja wangu wote am worried.

Acha umalaya wewe
 
Embu tupia kapicha basi tukuone kama kweli umeumbika ndo tuchangie ama kukuombea hiyo wiki iliyobaki
 
Mbona Kama Unataka Kutufikishia Ujumbe Wa Maumbile Yako Tu? Hayo Mambo Ofisin N Kitu Cha Kawaida N Utan, Be Strong Ila Ukiupokea Kwa Aibu Na Kushusha Macho Wataupata Udhaif Wako. Watakukanyaga Kweli. Na C Kwamba We N Mzuri Kupita Wasiokuepo Wanaume Wako Hvyo. Upokee Kama Utan Na Fanya Kaz Kwa Kujiamin, We Ni Secretary Dada?
 
bwana we jipendekeze kwa mmoja basi mwite baby baby huku unamyima wengine watakuita shemeji basi umekata mzizi wa fitna loh

Akijipendekeza c atampa sikiza bola tuongozane na mimi nikakuekee hishima watahadithiana tu hao
 
Naanzia wapi Kaside mie ujanja wangu wote habari ya kudinyana ofisini siiwezi aisee, mie huwa siendagi kwa mkopo wala siuzi, nafanya kitu roho inapenda kwa raha zangu. We endelea kuinjoi hilo game la ofisi mie siwezi hata jarobu kuonja

Aisee yani kudinye kimasihara usikubali yani hata lanch wanakutegemea aaagh hem kwa kuwadhoofisha hafu unipe habali
 
Hyo ofisi yenu inajihusisha na utoaji wa huduma gani?icje ikawa ni danguro!
 
Jiepushe nao ikiwezekana mwambie mlinzi wa hapo kazini kwenu kama wapo wawili mmoja awe karibu na wewe, vinginevyo wanaweza kukubaka

Kumbaka siorahisi wana test tu hao
 
bora uwape kwa kheri kuliko kuharibu status ya maisha yako

ofisi haina uongozi??
simu hakuna au huna namba za bosi??
huwezi kuwaambia waache huo ujinga??
kwanini unaendelea kuwaetea mazoea kama wanania mbaya na wewe??

check it out kiutan utan watakubaka na kwa mujibu wa maandishi yako hapo juu hutochukua hatua yoyote

am walking away
 
hapa mi naona we ndiyo una nyeg.e, tena unatamani threesome ya hatari!
 
Bestitoz MMU.

Kwa Kasie wiki hii yaliyojiri ni upande wa ofcn, tangu jumatatu ya wiki hii ofisini kwetu nimejikuta nakuwa mdada peke yangu na wababa 2.

Wengine mmoja kasafiri kikazi, mwingine yuko likizo mwingine yuko training kwa wiki 2 na mwingine yupo ia anaripoti kazini asubuhi kisha anatoka na kuingia kazi za nje.

Sasa tangu jumatatu wababa hao wamekuwa wakiniambia, Kasinde sasa tumebaki sisi tuu, sasa inakuweje.
mara waniambie umependeza sana, mara miguu yako mizuri, mara sijui imekuaje.

Yaani hawa wababa siwaelewi hata kidogo, kabla ya wiki hii huwa maongezi ofisini yako ya kawaida tuu ya utani na si ile ya kivileee. Mara waanze kusema unajua maofisi wengine wakibaki wawili huwa wanafanyana/wanadinyana, sasa hapa tumebaki sisi tuu sasa tufunge mlango.

Hapa nimejikausha wanapiga story zao mie niko busy najidai nimeconcetrate kwenye computer ila naomba ijuaa ifike salama maana huwa sina tabia ya kutoroka kazini siwezi, ingekuwa hivyo ningeshatoroka na kwaachia ofisi.

Tangu jana wananiganda nawanunulia lunch ofcourse tunakula hapahapa ofisini yaani, sijui wamepata genye za ghafla au ni nini kimewakumba.

Naogopa uu wasijenibaka Kasie wa watu, sijui niwatukane? au nianze kuwaongelesha kiingereza.

Maana wanaume wengine wakishapandishaga genye akili inakuwa haifanyi kazi kabisa.
Niombeeni wapendwa wiki 2 ziishe salama.
Na ujanja wangu wote am worried.

Kumbe una miguu mizuri, na mimi huo si ndo ugonjwa wangu! sasa ?
 
Usiwe mchoyo kizuri kula na wenzio lol am just kidding!
 
Yaani kuwatukana siwezi, kusifiwa pia sio dhambi, lakini kuna ile....
Eeeeeh Kasie kumbe una usafiri mzuri eeehhh huku anakuangalia kwa jicho la mate kumtoka, hapo lazima ukae vizuri maana anaonesha kabisa akili ishahama juu inashuka chini. Humu maofisini ni majanga matupu
Kasinde, inaonekana hujawaelewa wanaume vizuri. Sio kwamba kila anaekusifia maanake anakutamani. NO
 
Back
Top Bottom