Nimeogopa

Nimeogopa

Hili ni janga la officin inabidi likemewe kwa nguvu zote, hapa nilipo sina amani na kazi baada ya mmoja wa wafanyakazi wenzangu kulazimisha kudinyana nami nishamgomea afu amekuwa na chuki na mimi kiasi kwamba kuna hatari mbeleni. Na nimeapa asilani siwezi kuvuliwa pichu nae. Sasa ni mwendo wa kunitafutia makosa tu. Ila najitahidi kufanya kazi kwa umakini ili ikosekane sababu.
 
Haya mambo ya kutukanana haya? eti unamtongoza mwanamke anakwambia unajua wewe kaka nilikuwa nakuheshimu sana! duh sasa sijui nimeivunjia wapi hiyo heshima nae hana mtu huo ni UKOROFI.
 
Taratibuuu mwanamke haitakii papara jipange kwa maneno matamuu na uwongo mwingi mtoto huyoo
Kwny line

Ww tu
 
Hahaha mtoto wape wazee 3some acha kubana,si ndio nyinyi mnaosemaga waume za watu.cjui wababa wakubwa wanajua kuhandle nyie?!!sasa umepata ngekewa,tena wa2,Mungu akupe nini....
 
Napita tu

Kumbe ni wewe ndo uliyeiibua thread ya tangu mwaka jana na kuileta upya hapa. Nashangaa kupata notification za thread ya tangu Nov, 2014.
Ulikuwa wapi November? Haya pita uwasalimie huko uendako na usipite tena hapa.
 
hivi zile ndege za azam zishaanza safari zake ama?
mbili zinatoka nampula to blantyre daily>return
kwa tz ipo moja dar znz pmb return
ulfajir na adhuhur
5h-azm
 
we sema unaogopa yupi uanze nae na yupi umalize nae.
 
Back
Top Bottom