Jasili Sana huyo, alilolifanya Mimi ninaweza kufanya ikiwa tu nina watoto wa idadi hiyohiyo, au zaidi na sio Sina hata mmoja halafu nioe aliyezalishwa na wenzanguNguvu ya kuacha mtoto wa miaka miwili sijui wanatoa wapi hawa wanawake wa mwendokasi. Mimi mume wangu wa kupuliza alinikuta na watoto wanne kila mmoja na baba yake na alinipenda na wanangu na kutuchukua wote, sasa tuna watoto jumla tisa na mimba ya mapacha ni jeshi kubwa tunafurahia Maisha kwakweli nyumba yetu haipoi haiboi
Kwa hio unasifia ujambaziKwani akiwa jambazi ndio hawezi mfaa baba yake aliyemlea?? .Kwani majambazi wangapi wamelelewa na baba na mama zao waliowazaa??
Ukiona mtu anabagua watoto kisa sio mkojo wake ujue hana akili timamu.Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
MAPENZI UNAYOYAONA NI KWA LENGO LA UJITOE KWA MTOTO WAKE HADI SENTI YA MWISHO NA ATAKAPOGUNDUA UMEISHIWA UTAJUA KWANINI MADEMU WA HAJI MANARA NI WEUPE NA SIO ALBINO KAMA YEYEHabarini wakuu,
Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.
Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.
Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Utaita maji mma muda c mrefuHabarini wakuu,
Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.
Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.
Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Mkuu sio akili ijakuwa , wazazi hawaachani ng'o.Huu ni utoto, unaonekana bado mdogo sana au akili haijakua
Tunaomba hizo faida mkuuu.Kifupi kuna faida zaidi utazipata ukiishi na huyo mtoto
Hiki ndo mimi sikitaki.Mmmh watoto wamezaliwa tumbo moja wasiwe ndugu?
HAKUNA MWANAMKE ANAEKUBALI KUKAA MBALI NA MTOTO WAKE, UKIONA MWANAMKE KAKUKUBALIA KUKAA MBALI NA MWANAE UJUE YUPO KWAKO KIMASLAI.... IPO SIKU UTALIA TUU HAKIKA USISAHAU KUTULETEA MREJESHO HAPAHabarini wakuu,
Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.
Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.
Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Duu ila bora umesema mapema.nimempenda mama yake,,uyo mtoto sio damu yangu,,ni ngumu kumpenda kwa dhati mtoto asiy damu yako labda kiunafiki tu
Kama ana akili basi wewe hutakua na akili ya kumhandle huko mbeleni...sasaiv furahiahasa huyu wangu ana akili kupita mabilion ya wanawake