Nimeoa single mama


Na walochangia baba mama tofauti je?
 
Yote Kheri.
Amekuona huna pesa na zaidi hakukupenda Kwa dhati
Ni kweli sina pesa

Kwenye kunipenda ni kweli pia maana nilimdanganya nitampa connection ya job KITENGONI so alikuwa ananipa game kati hali ya utumwa Fran hvi
 

Dha, kwanza una roho mbaya. Usitegemee baraka katika hiyo ndoa. Huyo mtoto kakukosea nini mpaka umemtenganisha na mama yake. Hivi ungefanyiwa hivyo, ungejusikiaje?. Ngoja nikwambie ukweli huyo mwanamke ni mskivu lakini Si mama mwemwa. Na baraka ambazo ungepata kwa kulea huyo mtoto na kuishi naye ni nyingi mno. Sasa, yanafuata ni machungu zaidi. Nakuhakikishia ndoa isiyo na amani wala baraka. Usichezee na Mungu.
 
Huyo mwamba akijua tu kuwa bidada kaolewa, chances za yeye kurudisha majeshi ni kubwa sana. Kama akili za huyi mkeo ni ndogo, lazima mwamba atamla, ndoa yako itaingia doa au kufa kabisa. Omba Mungu awe mke mwema.
hilo halina Shaka ni mke mwema sana tena sana hilo naomba muamini hata kama hamumujui
 
kivip fafanua
Ukioa mama mwenye mtoto wa kike ni rahisi kukop na mtoto wa kike,ila wa kiume anapokua kamwe haji kukuelewa and the same mwanamke akaolewa na single faza mwenye mtoto wa kike.

Ni wazo tu, usinichukulie serious
 
Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
Kwani huyo mtoto hana baba?

Hao watakaozaliwa nao watakuwa na baba yao, mkizaa na mtu mwingine na kuachwa usimtupie bwana mwingine wa/mtoto kisa ubaguzi NO!, Haipo hivyo
 
Kwani huyo mtoto hana baba?

Hao watakaozaliwa nao watakuwa na baba yao, mkizaa na mtu mwingine na kuachwa usimtupie bwana mwingine wa/mtoto kisa ubaguzi NO!, Haipo hivyo

Sijamtupia mtu ila ukioa mwanamke Ana mtoto hutakiwi bagua lasivyo oa ambae hana mtoto
 
daah! apana siamini hayo unayosema mkuu na utaniwia radhi kutokubaliana na mawazo yako
 
Na walochangia baba mama tofauti je?

Hao ni ndugu.
Kinachoangaliwa ni mzizi/chanzo cha kiumbe,
Ndio maana wewe ukizaa na wanaume watatu, mchaga, Msukuma na Mhindi
Watoto hao watakaotoka watakuwa sio kabila au asili moja.
Bali watakuwa ni mmoja mchaga, mwingine msukuma na huyo wa mwisho ni Mhindi.

Lakini mwanaume akizaa na wanawake wa jamii hata kumi, watoto wote wataitwa Kwa asili yake(mwanaume).
 
msinishauri juu ya kuishi na kumlea huyo mtoto tafadhali hili ni reply yangu ya mwisho juu ya ushauri wa kuishi na mtoto ambaae so wangu,mtaniwia radhi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…