Nimeoa mwanamke mkali naomba msaada nifanyaje

Nimeoa mwanamke mkali naomba msaada nifanyaje

Mwagitho

Senior Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
111
Reaction score
38
Mimi ni mfanyabiashara, nimemuoa mke wangu miaka tisa iliyopita kabila lake mkulya.Mke wangu ni mkali sana mpaka kwa wafanyakazi wetu wanaotusaidia kazi kiasi kwamba imebidi muda mwingi niwe nakaa peke yangu sababu ya kuepuka ugomvi usiokuwa na lazima.

Tumejenga nyumba mbili Mwanza na Iringa najikuta mda mwingi nautumia kukaa peke yangu Iringa ili kuepuka ugomvi usiokuwa na maana ingawa yeye hajui kwa nini lakini bado atapiga simu mtagombana na ndoa yangu ya kikristo.

Wanajamvi nifanyaje?
 
kila akanzisha ugomvi anza kumtomasa-masa akilegea mpige kama viwili ivi vya nguvu nnauhakika utakua umetatua tatizo!!!
 
Muache oa mwengine gawana mali uishi kwa amani, Yaani nyumba ujenge wewe mwanamke akuweke roho juu kama tai?
 
Mh!. Mbona hainiingii akilini kweli miaka 9 umeweza kuishi naye kwenye ndoa halafu leo useme mkeo ni mkali mpaka unafikia hatua ya kumwogopa, hatukatai ni kweli kuna watu wakali na ndiyo asili yao lakini kuna namna ya kumsoma na kuweza kuishi na huyo mtu bila wewe kukwazika. Binasfi nina mashaka na wewe, hapo jiangalie mwenyewe kwanza may be unaweza kuwa ndiyo chachu ya ukali kwa mkeo. Nakushauri kaa chini jifikirie sana kwanini mkeo anakuwqa mkali then wewe kama kichwa cha familia uchukue hatua za kiume kutatua hilo suala, hayo mambo ya kukimbia familia inaonesha uwezo wako ni mdogo sana katika kutatua matatizo hasa ya kifamilia, kumbuka mwanaume aliyekamilika hasifiwi kula, kuwa na wanawake wengi bali husifiwa kuwa na uwezo wa kuhimili na kutatua matatizo ya kifamilia:majani7:
 
Umeacha pombe na sigara?vipi yule mkeo wa kizaramo?na yule uliyeletewa na mama??umeshapata uwezo wa kuzalisha?vipi baada ya fumanizi ulichukua hatua gani??
 
Mh!. Mbona hainiingii akilini kweli miaka 9 umeweza kuishi naye kwenye ndoa halafu leo useme mkeo ni mkali mpaka unafikia hatua ya kumwogopa, hatukatai ni kweli kuna watu wakali na ndiyo asili yao lakini kuna namna ya kumsoma na kuweza kuishi na huyo mtu bila wewe kukwazika. Binasfi nina mashaka na wewe, hapo jiangalie mwenyewe kwanza may be unaweza kuwa ndiyo chachu ya ukali kwa mkeo. Nakushauri kaa chini jifikirie sana kwanini mkeo anakuwqa mkali then wewe kama kichwa cha familia uchukue hatua za kiume kutatua hilo suala, hayo mambo ya kukimbia familia inaonesha uwezo wako ni mdogo sana katika kutatua matatizo hasa ya kifamilia, kumbuka mwanaume aliyekamilika hasifiwi kula, kuwa na wanawake wengi bali husifiwa kuwa na uwezo wa kuhimili na kutatua matatizo ya kifamilia:majani7:

Upo sahihi mkuu kama aliweza kuvumilia miaka yote hii iweje leo akae kwenye keyboard nakuanza kupiga kelele. Halafu ajue kuwa tatizo siku zote halikimbiwi bali hutatuliwa.
 
Mkuu nimekupa like kwa sababu we are sailing on the same sinking boat. nadhani wakulya ni bora kuolewa na wakulya wenzao its very hard to handle them. mi nimejitahidi kumbadilisha na kuongea naye kwa upole lakini naishia kutukanwa mpaka nimeamua option ya kukaa kimya na kutafakali nini cha kufanya.
 
So umekimbia familia kwa sababu ya ukali wake? Sidahani kama anapata ile huduma ya 6x6 ipasavyo, maana inasemekana mwanamke asiepata hiyo huduma vizuri anakuwa mkali sana.
 
Upo sahihi mkuu kama aliweza kuvumilia miaka yote hii iweje leo akae kwenye keyboard nakuanza kupiga kelele. Halafu ajue kuwa tatizo siku zote halikimbiwi bali hutatuliwa.

Mkuu nitonye hapo kwenye kutatua sidhani kama panawezekana labda useme akubali na azoee ukolofi, kugombezwa kutukanana. unajua ni kitu kama kipo ndani yao ni kazi kukibadili hasa kama mwenyewe anaona kama sio tatizo.ila wewe unaona ni tatizo.
 
Upo sahihi mkuu kama aliweza kuvumilia miaka yote hii iweje leo akae kwenye keyboard nakuanza kupiga kelele. Halafu ajue kuwa tatizo siku zote halikimbiwi bali hutatuliwa.

mkuu huyu jamaa nina mashaka naye, atakuwa ameshapata nyumba ndogo na amenogewa kisha anajifanya eti mkewe ni mkali. Sasa sijui anafikiri watu watamsaidia vipi kutatua tatizo lake wakati yeye mwenyewe hayupo tayari, bahati yake sana maana angekuwepo karibu yangu ningemtwanga vibao vya usoni
 
Kiukweli wanawake wa kikurya wanapaswa kuolewa na wakurya wenzao au na kina cheka, matumla, jafet kaseba, maneno mtambo wa gongo.
Chukua hatua vinginevyo kesi zitakuwa sehemu ya maisha yako.
 
So umekimbia familia kwa sababu ya ukali wake? Sidahani kama anapata ile huduma ya 6x6 ipasavyo, maana inasemekana mwanamke asiepata hiyo huduma vizuri anakuwa mkali sana.

Upo sahihi kabisa mkuu, simba jike ni mkali sana kuliko dume lakini akipanda na dume na akapewa dozi ya kufa mtu huwa linazubaa sana kama jinga na unaweza kwenda kumshika mkia, chezea mautamu wewe
 
Kazi ndogo sana, hao wanataka vipigo,muamulie siku moja umtwange hadi ashindwe kwenda baada ya hapo utaona heshima itakavyoonekana nyumbani. Siku zote hizo anatafuta kujua kama unaweza kumtwangaaaa. Sasa kaka huyo Punda miluzi mitupu na makelele haendi hakukulia mazingira hayo. Malizana nae kiroho safi usimuogope wala usikimbie nyumba.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Raha ya mkurya kupigwa !!!!!!!!!!! Mtandike ataona wampenda
 
Mkuu nimekupa like kwa sababu we are sailing on the same sinking boat. nadhani wakulya ni bora kuolewa na wakulya wenzao its very hard to handle them. mi nimejitahidi kumbadilisha na kuongea naye kwa upole lakini naishia kutukanwa mpaka nimeamua option ya kukaa kimya na kutafakali nini cha kufanya.

Pole mkuu hawa viumbe wamekuwa configured kivyao . nilikuwa na demu wa kikurya duu kwa amri nilimvulia kofia hata kama kakosea yeye ndio kwanza analianzisha utajuta samahani ni mwiko lol.
 
kila akanzisha ugomvi anza kumtomasa-masa akilegea mpige kama viwili ivi vya nguvu nnauhakika utakua umetatua tatizo!!!

Hivi kwa ukali anaoongelea hapo unadhani hata kuguswaguswa atataka?
 
Mimi ni mfanyabiashara nimemuo mke wangu miaka tisa iliyopita kabila lake mkulya.Mke wangu ni mkali sana mpaka kwa wafanyakazi wetu wanaotusaidia kazi kiasi kwamba imebidi mda mwingi niwe nakaa peke yangu sababu ya kuepuka ugomvi usiokuwa na lazima.Tumejenga nyumba mbili Mwanza na Iringa najikuta mda mwingi nautumia kukaa peke yangu iringa ili kuepuka ugomvi usiokuwa na maana ingawa yeye hajui kwa nini lakini bado atapiga simu mtagombana na ndoa yangu ya kikristo wanajamvi nifanyaje

Amua moja...unataka kubaki kwenye ndoa AU kutoka kwenye hiyo ndoa. Kwa kukimbia na kujificha Iringa hautatui tatizo, kujificha hakutamfanya awe mpole.

Ukiamua kubaki kwenye ndoa...basi acha kukikmbia, muishi pamoja na deal na hiyo situation 'like a man'!

Ukiamua kutoka kwenye hiyo ndoa (inawezekan ukawa ndio ushajitoa hivyoo)...atleast tell her kuwa umeona ndoa yenu haiwork out na umeamua mtengane, usimpotezee muda mwenzio akijua ana mume kumbe we ushajitoa na kukimbilia Iringa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom