Mimi ni mfanyabiashara, nimemuoa mke wangu miaka tisa iliyopita kabila lake mkulya.Mke wangu ni mkali sana mpaka kwa wafanyakazi wetu wanaotusaidia kazi kiasi kwamba imebidi muda mwingi niwe nakaa peke yangu sababu ya kuepuka ugomvi usiokuwa na lazima.
Tumejenga nyumba mbili Mwanza na Iringa najikuta mda mwingi nautumia kukaa peke yangu Iringa ili kuepuka ugomvi usiokuwa na maana ingawa yeye hajui kwa nini lakini bado atapiga simu mtagombana na ndoa yangu ya kikristo.
Wanajamvi nifanyaje?
Tumejenga nyumba mbili Mwanza na Iringa najikuta mda mwingi nautumia kukaa peke yangu Iringa ili kuepuka ugomvi usiokuwa na maana ingawa yeye hajui kwa nini lakini bado atapiga simu mtagombana na ndoa yangu ya kikristo.
Wanajamvi nifanyaje?