Nimeoa Mrangi

Naona wengi mnawasema vibaya

Je mabaya ni mengi kuliko mazuri?

Binafsi sijawahi kufikiria kama ningekuja kuta bikra ya kirangi tena yenye miaka 23 ila nimekutana nayo

hii imesoma chuo cha dini na imehifadhi Juzuu 14 (ndugu zangu waislam wanaelewa hapa)
Huyu anajielewa pia hana mambo ya kiswahili swahili (umbea umbea hapendi. muda mwingi anajifungia ndani akijisomea Quran)
Anajua kujali siku anazokuja ghetto huwa anajua kupangilia mavazi yaani anaipangia nguo ya kuvaa mpaka saa na viatu
 
Mwanamke ukimkuta na bikra kwny kizaz hik cha nyoka ujue kuna mawili....aidha ana hofu ya Mungu au kashawaka...peleleza hayo mawili ujidhihirishe
 
Mayoo waneee kakaa nae miaka miwili utuletee mrejesho
 

My friend,trust me iko siku utarud and when you do,tutakushaur

For the time being,hongera kwa kuoa kitu OG
 
Hongera sana mkuu
Sasa jitahidi kupeleka moto kistaha na kiuhuni haswaaa,

Usiogope kwamba utachapiwa kwa sababu mwanamke ukimgusa kunako hatoki nje. na ukiweza kuwa mnafiki to the maximum hakika atakuona mungu wake wa pili.

NB
Usisahau mechi za mchangani kujipima uwezo na kupata mbinu mpya 😅
 
Hawana shida
 
Uwe kila mara unatumia PEP ukitoka kulala nae utakuja kunishukuru baadae
 
hahaha mkuu mm nimetrack all communication na nyumb ina CCTV camera ziko hiden
Huwezi mtrack mwanamke wewe , akienda dukani kuchuma mboga dakika 5 ni nyingi sana. Kama unataka amani ya moyo wako iwe salama achana na kufatilia mwanamke
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…