Nimeoa Mrangi

Usiruhusu mashemeji wale wanaokula majani ya upareni Kama mbuzi waje kwako.
Sio watu wema wale.
Swali mrangi hivi kila mrangi lazima ale mitungi? Halafu lazima kila mrangi awe anaongea Sana utadhani wanawake?
 
Kwa niliyoyasikia kuhusu kabila hilo hapo ni sawa na ushaseti Dishi la azam, umewasha kisimbuzi kilichobaki subiri burudani kwa wote!
 
Hakikisha kuwa huchepuki na unaenda naye vizuri ,shida ya hao ni kuwa ukilianzisha tu,kukujibu ni dkk sifuri, huwa hawajiulizi mara mbili,na akifungulia ndio jumla huwa hawarudi nyuma...
 
Hakikisha kuwa huchepuki na unaenda naye vizuri ,shida ya hao ni kuwa ukilianzisha tu,kukujibu ni dkk sifuri, huwa hawajiulizi mara mbili,na akifungulia ndio jumla huwa hawarudi nyuma...
Kuna mwanamke wa kirangi amezaa na lijamaa akiwa ndani ya ndoa na alikua akifanyiwa kwenye nyumba hiyo hiyo alimoolewa. Mumewe alikua dereva kurudi kwake mpaka amfikishe bosi wake ndio achukue daladala arudi home.
 
Mrangi wa wap mondo,mrjo,soya ,kelema kwe ndege au wapi....kama n kweli kaz unayo mdogo wangu!!!!
 
Huo upande wa pili mnaukaguaje ?, hebu tupeane experience
weka dog style kisha kagua ukiona kuna malinda ujue pako sawa ila ukiona pako flat jiulize mara mbili mbili ukiona hupati jibu la kueleweka jaribu kuingiza dushe kabisa

Ukiona dushe inaingia bila tatizo basi ujue hiyo ndo michezo yake
 
Hongera mkuu
Mwaka huu nimeenda urangini kondoa kikazi miezi 3 lakini karibu kila siku nilkua nagonga mrangi kiutani utani tu na hatufahamiani, nilichokiona kule ni kuwa haijalishi ni mwanafunzi, mke wa mtu au mama mtu mzima wote ni wepesi sana kutongozwa, ata kichakani unamlaza tu hawana neno
 
Hajawahi guswa, umetumia vigezo gani kufikia hilo hitimisho kuwa hajawahi guswa?

Kama hajawahi guswa hiyo sio sifa ya uamimifu atakaokuwa kuwa nao kwenye ndoa.

Anaweza kuwa hajawahi guswa miaka iliyopita halafu hapo kwako akaguswa zaidi ya mara 100 katika miezi sita ya kwanza.

Usiweke imani kwa kutoguswa kwake, weka imani kwa yeye kuamua kuwa mwaminifu kwako.

Wapo walioolewa wakiwa wameguswa mara nyingi lakini baada ya ndoa waliamua kuacha kuguswa.

Na wengine walianza kuguswa ndani ya ndoa/mahusiano....

Nikutakie kila la kheri katika maisha yako.
 
Angalia nyuma kwanza
 
Utakuja na uzi hapa analiwa na wapwa zake
Hii kitu nilishuhudia mtaa ambao nilikuwa naishi mwanzo, mjomba mtu Kazaa na mtoto wa dada yake, na huyo mjomba alikuwa mtu mzima na. Mwenye mke hapo hapo kwenye hiyo nyumba. Ilibidi mke awaachie chumba akahamia chumba kingine cha uani, huyo binti mwenyewe alikuwa hata miaka 22 hana.
Hizi kabila za mrangi na mmbulu kimeo
 
mimi sikwambii chochote kibaya kuhusu wadada wa kirangi, utajionea mwenyewe mbele ya safari. raha ya ngoma uingie mwenyewe ucheze.
 
Wale tabia zao za kupenda ushirikiana zipo kwenye damu yaani ni tamaduni zao.
 
Hongera sana mkuu. Ila nina swali, hivi muhaya hata akiwa wa mjini wanaacha ile tabia ya kupenda kesi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…