nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 202
- 425
Wakuu naomba msaada wa mawazo nifanye nini hata bei ya fundi sijui kwani bei gani? Na hii ni baada ya kushusha adi 99 bei asanteni. Siwezi kufunga na nimekaukiwa amana
Duh sina mkuuTafuta fundi wa mtaani anakufungia kwa elfu 10 tuuh
SiweziKwani haiwezekani ukafunga mwenyewe?
Weka ndani tuh mpk upateDuh sina mkuu
Acha utani nipo seriasPepetea mchele
Nataka nicheki gemWeka ndani tuh mpk upate
SAHIHI, pesa ya fundi achukue Kinywaji huku akicheck gameHaihitaji ufundi. Mimi langu nilifunga mwenyewe. Cha Msingi ukishalitundika, connect dikoda na tv alafu una calibrate dish Hadi signal strength ifike angalau 76dBuv na signal quality angalau 75%. Mwanaume usikubali kulipa hela kwa Mambo madogo madogo Kama haya.
Sure. Mimi hadi heater la bafuni nilifunga mwenyewe. Huwa namuita fundi kwa Mambo ambayo naamini akili yangu haitawezaSAHIHI, pesa ya fundi achukue Kinywaji huku akicheck game
Haihitaji ufundi. Mimi langu nilifunga mwenyewe. Cha Msingi ukishalitundika, connect dikoda na tv alafu una calibrate dish Hadi signal strength ifike angalau 76dBuv na signal quality angalau 75%. Mwanaume usikubali kulipa hela kwa Mambo madogo madogo Kama haya.
We fala sana,umefanya nimepaliwa hapaPepetea mchele
Tafuta(azima) nyundo,nunua misumari Kisha angalizia kwa jirani uelekeo wa dish.Duh sina mkuu
Safi Sana ndio uzuri wa JFNUNUA BANDO LA BUKU MBILI DOWNLOAD HIZI VIDEO
View attachment 2783809
Fundi elfu 20Wakuu naomba msaada wa mawazo nifanye nini hata bei ya fundi sijui kwani bei gani? Na hii ni baada ya kushusha adi 99 bei asanteni. Siwezi kufunga na nimekaukiwa amana