Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,223
wnasemaga eti papuchi zao za baridi compare na zetu .. sasa nataka mtoa mada anithibitishie hili
Mkuu, binadamu wote ni sawa bila ya kujali rangi ya ngozi.
wnasemaga eti papuchi zao za baridi compare na zetu .. sasa nataka mtoa mada anithibitishie hili
Mkuu naomba wachina wako poa huko Canada wanaokuja bongo wanatafuta pesa wako kimaslahi hivyo wanamake sure wanapata wanaume bongo ili wapewe uraia waendeleze michakato yao bila usumbufu wa mara kibali kimeisha mara muhamiaji haramu na vingine kama hivyoWachina mbona watu Poa tu. Tunaishi nao.tunafanya nao Zinaa Sana tu na chakula wanatupikia, tunafanya nao Kazi hapa Canada.. Ni watu Poa.. Ukiwa mtu Wa kispoti spoti huo ni udhaifu... Wachina Poa Sana. Labda wakiwa huko Bongo wanawachezeeni
Mkuu hata huyu mchina anataka kibali tu hata kama mm akijichanganya nazuga nae nikipata kibali tusijuaneMkuu kwani una commitment nyingine? Kwanini usifikirie kumuoa, wanaume wa Kiafrika baadhi yenu mnatabia mbaya sana, nimekutana na Waafrika mmoja kutoka Gambia, Cameroon na Nigeria wameoa wadada wa kizungu baada ya kupata vibali wanatafuta visa vya kuwaacha. Mgambia ananiambia tatizo ni dini, jamani kwani ulivyomuoa bomani si ulijua tofauti ya dini zenu?
Si ajabu hapo ulikwenda kuonja tu nyeupe ikoje. Na wao wana feelings kama watu wengine.
Mchina hawezi kuchukua uraia Wa Bongo.. Kwani Akichukua uraia Wa Bongo anapoteza wa kwake na mchina hawezi kukubali kuupoteza uraia wake kwa ajili ya nchi maskini ya dunia. Wanachotaka wao Ni urahisi Wa kupata vibali vya kuishi na kurenew bila matatizoMkuu naomba wachina wako poa huko Canada wanaokuja bongo wanatafuta pesa wako kimaslahi hivyo wanamake sure wanapata wanaume bongo ili wapewe uraia waendeleze michakato yao bila usumbufu wa mara kibali kimeisha mara muhamiaji haramu na vingine kama hivyo
Kwa heshima ya reli ya Tazara,na uwanja wa taifa ambao ni kwa hisani kubwa ya wachina sitakuhadithia nilichokiona.NIENDELEE KUKUTISHA wale watu hawajui Mungu hawana hofu.. andaa kaburi hahahaha,,,.. me napenda mapenzi yao yani ni full kubebika nakufuatana kama njiwa ... mkuu ukitulia na huyo mchina utaenjoy wanajua kujali wanaume kweli aisee, jitahidi tu asinenepe ... mpende bwana .. samahani umeshakula mzigo ilikuwaje?
mixture ya mwafrika na mchina vitoto vinakuwa vichina pori " I hate that mixup..!
Niadithie kidogo tuKwa heshima ya reli ya Tazara,na uwanja wa taifa ambao ni kwa hisani kubwa ya wachina sitakuhadithia nilichokiona.
hahhhh daaaah sawahapana jirani wachina wakinenepa wanakuwa kama mdudu .. katapila lile linalotembea nyumanyuma linakaa kwenye mbolea
mixture ya mwafrika na mchina vitoto vinakuwa vichina pori " I hate that mixup..!
