Nimenasa kwa mchina

Nimenasa kwa mchina

Siku moja nilienda kung'oa jino kwenye hospitali moja hapa town kwetu,kwa bahati kumbe anayehusika na shughuli hiyo ni dada mmoja wa kichina nikapewa huduma nakuondoka,baada ya shughuli ile tulikutana tena kwa bahati kwenye mgahawa mmoja hapa mjini hapo ndo mazungumzo yakaanza,mazungumzo yakaanzisha uhusiano,uhusiano ambao umekuwa kama kaa la moto kwangu, kwani mi nilikuwa napita tu kumbe binti wa kichina ndo kakolea,binti anadai ndoa keshawaambia wachina wenzie kama 15 hapa mjini na wengi wao wanacheza karate.Nashindwa nimkimbieje kwani mi nimeajiriwa ajira ya kudumu mahali fulani hapa mjini kuhama ghafla siwezi.Na nikiona mazoezi ya kung fu na karate ya wale jamaa zake ndo kijasho kidogo hakiniishi kwapani.....kwa kifupi nimekwama, kumuoa siwezi,kutoroka siwezi,kumuacha naogopa kichapo cha wenzie,yaani hata sijui nifanyeje!!!
Mambo mengine umeshaonja au maneno mengi
 
Mkuu huyo hajakupenda wewe kama wewe bali mshede wako! inasemekana wachina wengi ni vibamia!
 
Apo cha kufanya ni kujifunza karate na kungfu za kutosha,,io itakurahisishia kufanya maamuzi yako....tatizo ni kwamba ukijua katate na kungfu utajiona kama wee pia ni mchina,,,badae utajikuta umemuoa na mapenz motomoto ya kichina....mkiwa kwenye game mtoto wa kike anajirusha ad kwenye dari na akishuka analenga palepale....yan ni atar mapenz ya kichina ni balaa.
Aisee, anaruka hadi juu ya dari halafu anatua palepale kwenye mshimbita, duh!!
 
Wanaume mtaacha lini kuchezea mabinti za watu!?????? kama huna mpango na mtu siunasepa mapema? yakiwafika shingoni ndio mnastuka, we muoe tu hakuna namna
 
Mkuu kwani una commitment nyingine? Kwanini usifikirie kumuoa, wanaume wa Kiafrika baadhi yenu mnatabia mbaya sana, nimekutana na Waafrika mmoja kutoka Gambia, Cameroon na Nigeria wameoa wadada wa kizungu baada ya kupata vibali wanatafuta visa vya kuwaacha. Mgambia ananiambia tatizo ni dini, jamani kwani ulivyomuoa bomani si ulijua tofauti ya dini zenu?

Si ajabu hapo ulikwenda kuonja tu nyeupe ikoje. Na wao wana feelings kama watu wengine.
Umeona eh
 
Back
Top Bottom