Mfitinishaji
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 572
- 600
Apo cha kufanya ni kujifunza karate na kungfu za kutosha,,io itakurahisishia kufanya maamuzi yako....tatizo ni kwamba ukijua katate na kungfu utajiona kama wee pia ni mchina,,,badae utajikuta umemuoa na mapenz motomoto ya kichina....mkiwa kwenye game mtoto wa kike anajirusha ad kwenye dari na akishuka analenga palepale....yan ni atar mapenz ya kichina ni balaa.
