Nimemuota jirani yangu akiwa chumbani kwangu usiku

Pole sana ndugu, hebu tupe tabia zako tupate kukushauri ie;
wewe ni mlevi?
Ni mzinzi?
Unasali?
Una tabia za udokozi/wizi?
Nakusubiri nikusaidie
 
Ni tukio la kushangaza kidogo.

Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!

Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.

Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!

Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
weka namba yake hapa nimuonye aache huo mchezo
 
Huyo ni mwanga, alitaka kukufanyia kitu ukashtuka. Huenda alishafanya baadhi ya vitu ndio maana unaweweseka.
 
Ni tukio la kushangaza kidogo.

Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!

Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.

Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!

Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Mkuu ni Mara ngapi umeota umeokota PESA usingizini?
Je ulipoamka ulizikuta?

Ndoto usiziamini sn mkuu
 
Ni tukio la kushangaza kidogo.

Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!

Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.

Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!

Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Kuna uwezekano mkubwa kwamba jirani yako huyo ni mchawi. Dumu katika sala na maombi kwa Yesu Kristo na mtu huyo atashindwa vibaya.
 
Ni tukio la kushangaza kidogo.

Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!

Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.

Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!

Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Anafanayaje labda
 
Anakutaka huyo kasubiri mtongozo kajichokea sasa kaamua kukutokea usingizini CHAKARIKA Mkuu.
Anamtaka na binti ni mchawi. Atakuwa anakuja kujisevia mpaka ahakikishe amemla sawasawa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Binti kishaliona dushe na kafall in love na dushe hivyo atakuwa anazuka usiku wa manane ili kucheza nalo 😂🙌🏾😂🙌🏾🙌🏾
Anamtaka na binti ni mchawi. Atakuwa anakuja kujisevia mpaka ahakikishe amemla sawasawa
 
Ni tukio la kushangaza kidogo.

Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!

Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.

Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!

Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Du kwahiyo alikuchungulia mkuu
 
Sasa nimeanza kuami JF inapoteza credibility ...Kisa nilichokiwasilisha ni cha kweli na nahitaji msaada ajabu ...nimepitia michango yote na asilimia 95 watu wanechangua utani,masihara kejeli nk!
Inashangaza kidogo kwa Forum kama hii!
 
Okoka. Mpe Yesu maisha yako ili wachawi waache kukuchezea.

Chagua moja uwe mchawi sana au uwe mchaMungu sana ili uwe salama.

Ushauri wangu kuwa mchaMungu masharti ya uchawi ni magumu hata wao wenyewe wanajuta kwanini waliamua kuwa wachawi.
Hii ni sahihi kwa 100%
 
Back
Top Bottom