Amgonge jiniWe nawe sa si umgonge!
Amgonge jiniWe nawe sa si umgonge!
weka namba yake hapa nimuonye aache huo mchezoNi tukio la kushangaza kidogo.
Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!
Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.
Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!
Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Kwan huwez kuwa kamata?Salute mkuu mi niliwahi kuchanjia dawa ya kuwaona wachawi mbona inatisha sana,walikuwa wakija chumbani usiku uchi
Hapo...Nina moja tu kusaliPole sana ndugu, hebu tupe tabia zako tupate kukushauri ie;
wewe ni mlevi?
Ni mzinzi?
Unasali?
Una tabia za udokozi/wizi?
Nakusubiri nikusaidie
Mkuu ni Mara ngapi umeota umeokota PESA usingizini?Ni tukio la kushangaza kidogo.
Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!
Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.
Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!
Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Jini mbona anagongeka tu!Amgonge jini
Kuna uwezekano mkubwa kwamba jirani yako huyo ni mchawi. Dumu katika sala na maombi kwa Yesu Kristo na mtu huyo atashindwa vibaya.Ni tukio la kushangaza kidogo.
Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!
Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.
Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!
Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Anafanayaje labdaNi tukio la kushangaza kidogo.
Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!
Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.
Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!
Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Anamtaka na binti ni mchawi. Atakuwa anakuja kujisevia mpaka ahakikishe amemla sawasawaAnakutaka huyo kasubiri mtongozo kajichokea sasa kaamua kukutokea usingizini CHAKARIKA Mkuu.
Anamtaka na binti ni mchawi. Atakuwa anakuja kujisevia mpaka ahakikishe amemla sawasawa
Du kwahiyo alikuchungulia mkuuNi tukio la kushangaza kidogo.
Majuzi nikiwa usingizini nilimuona jirani yangu akiwa chumbani kwangu ananiangalia akitabasamu! Nilipoamka alitoweka!
Ni binti mmoja ameshika Dini yake kwa mwonekano wa kibinadamu. Nimejaribu kulipuuza tukio hili nichukulie kuwa ilikuwa ni ndoto tu, lakini moyo unakataa kwa sababu nilipoamka nilikuta naweweseka sana.
Naamini hapa nitapata maelezo ya kina ya tukio hili na pengine ushauri muafaka!
Kinachoniuma zaidi siku hiyo sikuvaa chochote na kulikuwa na joto kali kwa hiyo hata shuka sikulihitaji!
Unampenda, kama ana vigezo longa nae.We nawe sa si umgonge!
Hii ni sahihi kwa 100%Okoka. Mpe Yesu maisha yako ili wachawi waache kukuchezea.
Chagua moja uwe mchawi sana au uwe mchaMungu sana ili uwe salama.
Ushauri wangu kuwa mchaMungu masharti ya uchawi ni magumu hata wao wenyewe wanajuta kwanini waliamua kuwa wachawi.