UJUE WALIO OA WAKE ZA WATU WALIOBIKIRIWA WANAISHI KWA PRESHA kama hujaoa ni mpenzi hana bikra piga chini
stress za nini mtu aliyeshindwa kujilinda NDOA ATAHESHIMU VIPI HUYO labda abakwe wengi ni hiari yao
MAPENZI KABLA YA NDOA MNAWASUMBUA WANAUME ZENU
kabisa utalindaje kiporo hahahaha waachie waliobahatika kuzinyaka bikra tuzilinde ndoa zetu muruaaaaa UKIOA BIKRA UNAJIAMINI
Ahahaaa domo wazi
Baby vipi mbona unashtuka au imechomoka?Kheee!
Miss Bantu wewe ni hatari..Kumlinda mpenzi wako ni sawa na kulinda bahari... utalinda kigamboni huku bagamoyo watu wanavua
Badala ya kufikiria mbinu za kujileta maendeleo anafikiria kumchunga binadamu mwenzie. Mwnamke akidhamiria kuchepuka dakika kumi nyingi.Utakujaga kujifia kwa kihoro kwa wivu wako, binadamu siyo wa kuchunga kama mbuzi
Du ukweli mchunguKumlinda mpenzi wako ni sawa na kulinda bahari... utalinda kigamboni huku bagamoyo watu wanavua
ww utakuwa kwenye utafit wa thesis yako ya masters/ phd tu na unatafuta data humu. ila kiuhalisia huwez mlinda dem. hawa viumbe wana akil nying balaa". labda aamue yy kuwa mstarabu kwako.mimi siwezi kukubali demu wangu akaliwa na mwingine, hatuwezi share sehemu napumzikia aisee!!! hili nimeshaamua na nalitekeleza kwa vitendo!!
Sasa kama kampania we inakuhusu nini.? KARANJA 007 we mpana kweliMsalimie Dinazarde,nasikia Nyani kampania.
Kama kina Sparta [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kanichekesha huyu anataka aje atulilie humu,naona wanaume sasa hivi wanalia tu humu MMU
Kama kina Sparta [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
mzima wewe
Kweli mimi mpana,na yeye Dinaarde ndio anapenda huo upana wa naniliu.Sasa kama kampania we inakuhusu nini.? KARANJA 007 we mpana kweli