The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Ayayayayaaaa....basi nimetishaaaaaa.
USA baby....
Yaani advertise lako tu, mtaani tayari tafran
Ayayayayaaaa....basi nimetishaaaaaa.
USA baby....
Miaka ile wakati nasoma Sekondari niliwahi kusoma shairi moja, nimelisahau jina ila lilikua na baadhi ya beti zenye maneno haya "Mlinda wajisumbua kulinda chenye hisia, chaenda chatenda charudi..." pengine wakongwe watakumbuka hilo shairi hahahahaah kwahio Kijana wangu.....tulia utakufa utaacha utamu, kubali kugawana utamu tuMwanaume usiye na wivu basi una MAPUNGUFU, ulinzi ni kitu muhimu usijidanganye uta-share na watu bila wewe kujijua, yawezekana hata marafiki zako wakawa wanakula mzigo na wanakusanifu tu, wanawake wameumbwa na SIRI nzito, kuweni makini. Mimi mimeshachukua hatua wewe je?
hahaaaaaaa yaaan huko anakoelekea ata ripitiwa haswaaaNaona Nyani Ngabu ameleta tafrani mtaani. Na hapo hajaanza kazi bado.
mimi siwezi kukubali demu wangu akaliwa na mwingine, hatuwezi share sehemu napumzikia aisee!!! hili nimeshaamua na nalitekeleza kwa vitendo!!you are wasting time mkuu,acha ajilinde mwenyewe binadamu halindwi kama mnyama
kaka kama umeamua demu wako aliwe ni wewe lakini siyo wote!!Kuandika tu hujui kumlinda utaweza?
Umeshaelewa!! acha utani kwenye masuala muhimu kama haya!!WAZUP ndio nini eroo??
Hakuna kisichowezekana chini ya jua; ntahakikisha HALIWI !! Nimeamua na nitatekelezaIt takes 2ms mwanamke kuliwa. Mwanamke kulala na mwanaume Ni feelings and not physical na Haya Mawivu yako najua feelings na wewe Ni ndoto, mapenzi kwako yeye Ni wajibu..... Pole maana ataliwa tu
Software Programs zipo nyingi tu Mkuu, ndiyo maana nasema hivi mtu acheze na demu wangu - ataona kitakachomkuta.Mwanamke alindwi, let's say it's 20% by 80%..... 80% aamue mwenyewe kujilinda. Wakati nasoma chuo kuna Mzee mmoja tajiri kweli alikuwa na mke mzuri anampa kila kitu na kumwamini balaa, Siku moja katoka, ajanipigia niende nikachukue gari kwake nimsaidie kazi, nikakuta mke wake kabamizwa ukutani na mtoto wa jirani wa form two, Shemeji yangu kalalama huyo, nikamwambia sitasema wala usijali, mpaka Leo Ni Siri yangu wala Yule Mzee ajui, ukimwambia mke wake analiwa hamtaelewana, nikapata somo nikasonga. Mwanamke bwana is something else, anaweza Tembe hata na toyo buy ambaye humuwazii!!!! Kama unabisha na uko tayari Ni pm Mimi nitakuelekeza namna ya kuhakikisha Weza analiwa au Vipi, Nina ka program nilikanunua India kanafukunyua simu balaa hata Kama text zimefutwa, kwa mtu ordinary mtumiaji wa simu utamshika tu.
Software Programs zipo nyingi tu Mkuu, ndiyo maana nasema hivi mtu acheze na demu wangu - ataona kitakachomkuta.
Yaani unanizidishia Uchungu!! Uchungu - siwezi kukubali mtu achezee sehemu napumzika - siwezi!!Kumlinda mpenzi wako ni sawa na kulinda bahari... utalinda kigamboni huku bagamoyo watu wanavua
Kaka mwanamke yeyote yule hawezi kuanza kumtaka mwanaume unless awe Changu (guberi)!! lakini kuna wanaume kazi yao ni kutongoza mademu wa wenzao kwa tamaa zao za mwili - sasa hao ndiyo mimi nawataka!!Sasa Kama anawataka wanaume yeye? How old are you?
Kaka mwanamke yeyote yule hawezi kuanza kumtaka mwanaume unless awe Changu (guberi)!! lakini kuna wanaume kazi yao ni kutongoza mademu wa wenzao kwa tamaa zao za mwili - sasa hao ndiyo mimi nawataka!!
Sasa bro ukibana sana.. mafisi tutajinadi vipiUmeshaelewa!! acha utani kwenye masuala muhimu kama haya!!